Wachache watanzania wa kugunguka kama ulivyofunguka, wewe laxima utakuwa mwana CHASO -chadema. Jpm tunaomba atatue hiyo kero , vijna soko litakuwa njia panda
Post sent using JamiiForums mobile app
Mwanduhitinje! Usidanganye watu , huko meatu simiyu hicho kijiji hakipo! Naitambua "Mwanduitinje" , kwa ulivyondanganya nafisi ni kuwa wewe mchambuzi. Wew ni mpiga debe tu , akisoma post yako mh Mbunge Luhaga Mpina "naibu waziri wa muungano&mazingira" stakushangaa. Huna logic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.