WANAJAMVI HABARI ZA MDA HUU.!
NAOMBA MNIPE USHAURI WENI MAKE NIMECHOKA KUVUMILIA
nimeoa ndoa yangu ina mwezi wa 9 sasa lakini ndoa yangu imekuwa ya kutoelewana. yani mi nacho mwambia mke wang mfano kosa fulani limetokea kwake sasa ile nataka kumwelekeza nakwambia hapo ndo ugomvi unaanzia afu...
kweli mi naona mfumo huu wa kutoa mahari ni sababu za kitamaduni afrika kwani ambacho ujui hii si afrika tu, hata mabara mengine kwani kuposa ni kawaida sema tu sikuizi vijana tunajichanganya pengine sababu ya kutojua umuhimu wa mahari/posa. maana ya posa wengi wanaichukulia pow tu lakn wew...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.