Recent content by King Crazzy

  1. K

    TANZIA: Member mwenzetu Mgirik amefiwa na baba yake mzazi

    pole ndugu yetu mgiriki. Mungu akulinde na soured nguvu
  2. K

    Masters degree programme

    Njoo SUA usome masters ya agribusiness
  3. K

    Mke wangu ana VVU

    Ndugu pole sna kwa majanga hayo yaliyokukuta. Ushauri wangu kwako ni huu kwanza ni kuwashitaki Mkeo na Madokta wake kwa uongo mkubwa kiasi hicho. Pili maamuzi ya ndoa ni juu yako wewe mwenyewe kuachana naye au kuendelea kuishi naye.
  4. K

    Naomba kujua kuhusu morogoro sekondari

    Mkuu Moro sec ya sasa haiko poa kitaaluma na nidhamu pia
  5. K

    Azam Media kuwazidi kete DStv?

    kikweli Azam TV wamejipanga
  6. K

    Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

    Siku yake ya kufa ilishafika na crdb ilikuwa imeandikwa iwe njia tu
  7. K

    Taarifa ya Habari saa 2 - Ushauri kwa TBC na Star TV

    Sina cha kubisha hapo kweli mkuu umefanya utafiti nimekubali. Maana hata mimi Taarifa ya ITV then Star TV. Big Up!
  8. K

    Yanga kushney, kwaheri Tom!

    Sijui kwanini soka la bongo halieleweki kiivyo. yaani timu inapofanya vibaya kidogo tu jambo lakwanza ni timua timua. Jamani hata mpira unahitaji uvumilivu wa kutosha ndio tutapata hayo mafanikio vinginevyo tutaishia kuamini kamati za ufundi badala ya kuamini katika Technical bench. Walau Simba...
  9. K

    Simba leo itafanya kweli tu ila yanga mhhhh!

    Leo ni zile mechi za kimataifa ambazo zitazechwa na vigogo vyetu vya soka hapa nchini Tanzania. Yanga itakuwa nyumbani kucheza na Zamalek ya Misri katika kombe la Klabu Bingwa wakati simba itakuwa ugenini huko Rwanda kucheza na Kiyovu. Eee bwana historia haichezi lakini yanga wacheze kama jihadi...
Back
Top Bottom