Azam Media kuwazidi kete DStv?

Huyo anajifurahisha. Labda hasomi magazeti. Hata wenye mpira wao kule Brasil wanaangalia EPL. Ligi za Uganda, Kenya na sijui wapi nani anazitaka hapa Bongo? Ligi yetu na EPL ndio mambo yote.

AZAM TV anachokifanya nikutafuta wateja nje ya tz, akichukua leseni ya kuonesha ligi ya uganda, kenya na kwingineko tayari watu wa nchi husika watalazimika kununua king'amuzi cha AZAM TV hivyo suala la coverage atakuwa analimaliza taratibu na DSTV mwenyewe atajiongeza!

Kwan kuna kipi special dstv zaidi ya EPL?

azam tv kakamata ma house girl hadi mabosi watu wapo bz na sinema zetu na african movies hiyo EPL yako nenda vibanda umiza.

Viva azam tv go go!
 
Mkuu, najizuia kukutafutia jina. Awali ya yote ukiwa nchi yoyote hapa africa (Lesotho, Camerron, Congo, Kenya, Uganda nk) ukikuta wananchi wa huko wanaangalia AZAMTV ni hakika wewe kama Mtanzania itakupa furaha kuliko kukuta wanaangalia kina DS--------TV. Labda tuuuuuu kama Utanzania wako umekaribia "expiry date".

Pili NANI aliwapa DS------TV mamlaka ya kuonyesha EPL kwa Sub-Saharan Africa? Hii ni nchi ipi? Huu ni mwendelezo wa Berlin Conference na ukoloni mamboleo. Zinduka!!!!! Huu ugawaji wa HAKI-ulizihusisha nchi zilizopo eneo linaloitwa Sub-Sharan Africa? Mababu zao kina DS......TV waligawa na kujitwalia maeneo yetu kama njugu bila kujali nani wapo wapi! Sisi ndio tumewalisha raslimali zetu tangu enzi na enzi.

Ushabiki naouona kwa baadhi yetu na mahaba kwa wanyonyaji hawa hauna tofauti na wale machifu waliopewa kioo cha kujitazama na kurudisha fadhila kwa kugawa maeneo ya ardhi.

Ipo mipira mingi tuu Azamtv na sijaona kama ina-standard ya chini kuliko ya EPL. Kisha jiulize iliwachukua DS/TV muda gani hadi kushusha BEI tena kwa kuwalenga wa TZ? Nani kawafanya washuke bei? Kwani hawataki faida? Wema wa ghafla hivi unatoka wapi?

Bei zip unazozizungumzia kushuka je za kununua au za malipo ya vifurushi
Halaf ni misim miwil tu dstv ndk walikosa right za kuonesha epl baada ya kushindwa na G-sport kutoka nigeria then na wenyewe wakaenda bankrupt then dstv akununua right za msim uliosalia kutoka G-sport

Ukitaka kuwaondoa dstv sub saharan labda waje bein sport ambayo ndo kampun tajir kuliko zote katika television na hapo azam anaweza kuuziwa hata mechi 2 kwa wiki

All in all azam tv awez kushindishana na dstv katika kupata right za epl, wenzetu dstv wamewekeza sana kwao na west africa especially nigeria ndo maana utakuta zipo chanel 3 kwa mfank unaweza ukakuta ss3A,ss3za,ss3ni
 
hivi nyinyi mliochangia mada hii nani mwenye dstv nyumbani kwake au mnaisikia tu kwa kuonyesha mipira azamtv kwachanel hamfiki dstv hata kwa ncha ya ukucha

Hahaah hapo umeongea kabisa dstv wamekamika kila idara hahaha watu waazam wanajivunia vichanel vya mbc wakat sisi huku tuna mnet east,mnet west, mnet premium, mnet edge, vuzu hapo ni kwa series tu yyt ambayo iko ktk chat
Dstv premium ndo raha msije mkaifananisha na azam
 
AZAM TV anachokifanya nikutafuta wateja nje ya tz, akichukua leseni ya kuonesha ligi ya uganda, kenya na kwingineko tayari watu wa nchi husika watalazimika kununua king'amuzi cha AZAM TV hivyo suala la coverage atakuwa analimaliza taratibu na DSTV mwenyewe atajiongeza!

Kwan kuna kipi special dstv zaidi ya EPL?

azam tv kakamata ma house girl hadi mabosi watu wapo bz na sinema zetu na african movies hiyo EPL yako nenda vibanda umiza.

Viva azam tv go go!

Unaposema sinema zetu je vipi kuhus africa magic swahil, je hizo africa sinema mbona zipo kwenye africa magic, famil, world, epic etc
Sema hiv azam hiz chanel wanazitoa kwa bei ndo wakat kwa dstv hizo chanel kama africa magic swabil etc bei za vifurush vinaanzia 17000-142000 kwa mwez
 
Hahaah hapo umeongea kabisa dstv wamekamika kila idara hahaha watu waazam wanajivunia vichanel vya mbc wakat sisi huku tuna mnet east,mnet west, mnet premium, mnet edge, vuzu hapo ni kwa series tu yyt ambayo iko ktk chat
Dstv premium ndo raha msije mkaifananisha na azam

Mimi nina DSTV lakini itakuwa sio haki nikiwapuuza Azamtv kama unavyofanya. Ninayo pia Azamtv, na ninajivunia ile HISIA tu kwamba MTANZANIA katikisa mawimbi ya Digital Television Enterprises hapa SUB SAHARAN AFRICA. Kisha sina hata haja ya Parental Control (Kuset passwords) kwa vile NAJUA kwenye AZAMTV hakutaonyeshwa baadhi ya mambo ya Kishenzi kwa wanangu
 
Mimi nina DSTV lakini itakuwa sio haki nikiwapuuza Azamtv kama unavyofanya. Ninayo pia Azamtv, na ninajivunia ile HISIA tu kwamba MTANZANIA katikisa mawimbi ya Digital Television Enterprises hapa SUB SAHARAN AFRICA. Kisha sina hata haja ya Parental Control (Kuset passwords) kwa vile NAJUA kwenye AZAMTV hakutaonyeshwa baadhi ya mambo ya Kishenzi kwa wanangu
Mkuu nimekubaliana na hio sentensi yako ya mwisho
 
Mkuu, kama mie ningekuwa mkuu wa Azam TV ningeachana kabisa na mipango ya kuonesha ligi ya England badala yake ningejikita kuonesha ligi za nchi za hapa hapa Africa ambazo naamini nyingi ni nzuri kuliko hiyo ya England. Uzuri wa ligi ya England unakuzwa na DSTV tu. Mifano ya ubovu wa ligi hiyo upo katika mashindano ya UEFA na FIFA.

Taja mfano wa ligi nzuri Africa kuliko EPL
 
Mkuu, kama mie ningekuwa mkuu wa Azam TV ningeachana kabisa na mipango ya kuonesha ligi ya England badala yake ningejikita kuonesha ligi za nchi za hapa hapa Africa ambazo naamini nyingi ni nzuri kuliko hiyo ya England. Uzuri wa ligi ya England unakuzwa na DSTV tu. Mifano ya ubovu wa ligi hiyo upo katika mashindano ya UEFA na FIFA.

Wazooo zurii sanaaa
 
Hahaah hapo umeongea kabisa dstv wamekamika kila idara hahaha watu waazam wanajivunia vichanel vya mbc wakat sisi huku tuna mnet east,mnet west, mnet premium, mnet edge, vuzu hapo ni kwa series tu yyt ambayo iko ktk chat
Dstv premium ndo raha msije mkaifananisha na azam
Pamoja na kukamilika kila idara ila super spot ndio nguzo Kuu.

Football ndio inayowafanya watu wakubali kulipia gharama kubwa.

Azam mdogomdog atafika, yupo pale Tido Mhando anajua nini watanzania wanataka.

Kama aliweza kuiwezesha tbc kurusha baadhi ya mechi za epl sidhani kama atashindwa Azam ambao wapo kibiashara zaidi.
 
Mkuu, kama mie ningekuwa mkuu wa Azam TV ningeachana kabisa na mipango ya kuonesha ligi ya England badala yake ningejikita kuonesha ligi za nchi za hapa hapa Africa ambazo naamini nyingi ni nzuri kuliko hiyo ya England. Uzuri wa ligi ya England unakuzwa na DSTV tu. Mifano ya ubovu wa ligi hiyo upo katika mashindano ya UEFA na FIFA.

Eti nini? We unaumwa sio bure
 
Leo nimeona katika moja
ya magazeti kuwa Azam Media imefanikiwa kuwapiku DSTV yenye chanell za
super sports amabazo ni maarufu kwa kuonesha mipira na michezo mbali
mbali,,KATIKA TENDA ya KUONESHA LIGI KUU YA UGANDA

Awali ligi hii ilikua chini ya Udhamini wa Super Sports na sasa itakua
chini ya AZAM MEDIA na hivyo ligi hiyo ya UGANDA itaitwa Azam Premier
League....

Azam Media itaweza kuwazidi kete DSTV ktk ushindani huu?...
Kuna mtu alinitonya kuwa wanampango wa kupeleka maombi kwa ajili ya
English Premier League...

SOURCES...
...https://www.facebook.com/azamtvtz
....aarifa.co.tz/2015/02/azam-kuidhamini-ligi-kuu-ya-uganda/

NB: Huu ni ushindani wa kibiashara na king'amuzi cha Azam kinaonekana
kushika kasi tofauti na ving'amuzi vingine...

Bado hujaijua DSTV, hivi unayo nyumbani? ulizia GTV waliishia wapi? Azam Tv bado wana safari ndefu sana hata wao wanajua.............
 
Hakuna kitu kama hicho, bein sports wanaonyesha hizo ligi zote tena kwa bei ndogo sana kwa nchi za middle east,na north Africa nchi ambazo kwanza hakuna wateja kama kwetu Africa, nchi ambazo zaidi wanapenda ligi ya Spain na Italy lakini wanaonyesha tena kwa ubora wa hali ya juu kabisa, huwezi kuwalinganisha na DSTV kwa kila kitu kuaniza ubora wa mitambo watangazaji hata studio za kisasa kabisa, azam anaweza sana DSTV anawanyonya mno, mbona GTV alimpiga bao sema hakuwa kajipanga tu

Swali langu ni kuwa hata dstv huwa muda mwingine anachukua matangazo ya live from skysport....sasa kwann bakhresa asiweke ktk king'amuzi chake hizo Chanel za bein sports????
 
Azamtv anajitahidi ko kukompt na Dstv kwa ununuz wa mech hiz za kiafrika anaweza bt kukompt na Dstv kwa ubora bado sana sana sanaaaaa....
 
Back
Top Bottom