Unachosema ni kweli kwa asilimia kubwa iko hivyo.
Nafkiri labda kwa sababu sisi wanaume tumepewa na Mungu asili ya kutawala-kwaiyo ukilea mtoto wa mwingine nyumbani kwako inakua kama eneo lako la utawala limevamiwa. Utakuta unajiskia vita Vs uyo mtoto wa dume jingine.
Sihalalishi vita hiyo...
Pole..
Kama hayo majimaji HAYATOI HARUFU MBAYA..inawezekana ikawa ni fangasi hao. Usistuke sana maana huwa inatokea, inasababishwa na kubadilika pH ktk tumbo la uzazi.
Una umri gani? Nakushauri
Nenda zahanati yyte iliopo karibu
ni procedure ndogo sana, haina maumivu yoyote zaid ya discomfort kidogo kwa mgonjwa.
Wanaweka contrast ktk mijira ya uzazi kwa kupitia shingo ya kizazi kwa kutumia kifaa maalum na lubricant kisha wanapiga picha ya X-ray kuonyesha mirija kama ina uvimbe au ipo sawa.
Inafanyika kwa usafi wa...
Ayo majimaji yangekua na vibonge bonge vyeupe, ningekushauri vingine. Lakin kwakuwa umesema yana vibonge vya damu inanipa shaka kdg.
Ila unafuu wake ni kwamba hakuna harufu mbaya. Harufu ingekuwepo tungesema mengine pia.
ok nakushauri baada ya siku 5, iyo hali isipoisha-uende hospital kwa vipimo. Acha kuvulia wanaume chupi hovyo hovyo. Umeanza mapema hivi na unaujasiri ukifika miaka 22 utakuaje? Take care sex sio fashion
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.