Recent content by KIMU

  1. K

    Chadema someni hapa, sio mnapapatika na kukurupuka tu...

    Huna tofauti na mtu anayekaa bila kufanya kazi akiamini Mungu ni mwema atampa chakula. Umefilisika mawazo kweli, unawatisha watanzania ili waendelee kufa njaa nyie mkineemeka. SAHAU
  2. K

    Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

    Ninachofikiri ni kwamba huweza magamba walitaka kujilimbikizia hivyo viwanja kama kawaida yao sasa wanaposhindwa wanatengeneza zengwe.
  3. K

    Chadema badilikeni!

    Inatia huruma kweli. Kwa mwenye akili kidogo bila za mbayuway hahitaji kuelezwa huu uzandiki hapa.
  4. K

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    16. Huu ni upepo tu nao utapita. JK
  5. K

    Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

    Ni afadhali kuishi na mtindio wa ubongo kuliko kuwa na akili na ufedhuli kama za magamba.
  6. K

    Sherehe kubwa ya Dk Slaa; Nilidhani CHADEMA ni watu wenye utu...

    Hoja yako haina mashiko isitoshe nyie ndo walewaleee.......... mnaofurahia kuona migogoro, umewahi kuoa wewe? Inavyoonyesha na wewe ulikuwepo kati ya wale kina........... waliokwenda kuweka pingamizi, poleni sana.
  7. K

    Penda usipende CCM inachukua jimbo la Arusha kwenye uchaguzi mdogo

    Hizo ni ndoto tu jamani muacheni akiamka toka usingizini atakumbuka yuko r-chuga na hayo yote anayoyaongea atasahau kama sio kuyakana. Arusha mwendo ni mmoja mpaka kitaeleweka tu hakuna magamba hapa kuingia.
  8. K

    Kumlazimisha Nassari kuomba radhi ni bora zaidi kuliko kumtetea!

    Tatizo sio kauli ya Nassary wanaJF wenzangu bali ni UBUNGE wa Arumeru mashariki na Arusha mjini.
  9. K

    Taarifa kwa Umma-Tamko la J.Nassari kuhusu Tamko la NMC

    Huna jipya umemuona Nassary tu? Hakuna asiyetereza. Inawezekana hata wewe mwenyewe ukawa na matatizo zaidi yake isitoshe wakati anazungumzia hilo hakuwa anamaanisha kujigawa, tatizo ni habari umbea na udaku tu.
  10. K

    Hatimaye Joshua Nasari Aaapishwa

    Hongera kamanda J. Nassary watu walikuwa wanasubiri sana ule kiapo leo cha ushindi zidi la kundi la bweha, fisi na mbwa mwitu uliowagaragaza tar.1. kazi ni moja mapambano
  11. K

    Arusha - Je tunaridhika na utendaji wa Godbless Lema?

    We umetumwa na magamba suala la mpango mji wa arusha limetokana na uzembe wa viongozi wa ccm, pili yeye kama mbunge hawezi kukubali wananchi wake wavunjiwe nyumba kwa ajili ya upanuzi wa barabara bila fidia inayoendana na gharama za maisha sasa, japo uwajibikaji unaonekana. Ajira za kiuwaji...
  12. K

    Mgogoro mkubwa waikumba CHADEMA kwenye kumpata mgombea ubunge Jimbo la Arumeru

    Kwa hali halisi ilivyo arumeru NASARY bado anakubalika na walio wengi kupeperusha bendera ya CDM. Nafikiri huu haukuwa wakati wa kutafuta mgombea mwingine ambaye atatupa wakati mgumu kuanza kumtambulisha na muda wenyewe hauruhusu kubwa ni kukubaliana nae kwani jitihada za kuchukua jimbo...
  13. K

    CHADEMA kama mnataka kushinda Arumeru Mashariki kuweni makini na huyu jamaa!

    Toka chaguzi za arusha zimefanyika ni mtu gani wa ccm ulishasikia amekamatwa na t*k*k kwa rushwa zaidi ya jitihada za vijana shupavu na makini wa CDM kupambana wenyewe, kumbuka kipindi cha uchaguzi uliopita upate uzoefu wa rushwa na ccm.
  14. K

    Sioi Sumari achaguliwa na CCM kumrithi baba yake Arumeru Mashariki!

    Kwani hujui uongozi ndani ya ccm huwa ni wa kifamilia kwanza, kama huamini fuatilia
  15. K

    Kwa hili la DCI Manumba unapata fikra gani kichwani??

    Kwa kweli ni dhahiri kabisa ya kuwa tulipofikia ni pabaya watu hawana hofu ya Mungu kabisa, lakini ikumbukwe ya kuwa hakuna masika........... Pole sana Dr. Mwakyembe hata wananchi tunaamini maneno ya kinywa chako ndio yenye ukweli
Back
Top Bottom