Mkuu FJM naamini hata JK hataki waTz wapate tabu wanayopata sasa isipokuwa ni ujinga wa kuamua ufanye lipi na useme lipi kwa wakati gani..........Halafu hii tabia ya kwakuwa CCM wameboronga mambo mazito simply kwakuwa wamekuwa hapo kwa miaka mingi basi tusizungumzie issue za CDM simply kwakuwa hawajawa watawala na hatuwezi kuwahukumu.........kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, hakuna kitu kinaitwa some petty petty issues sababu hizi ndizo saize ya CDM na tutawakosoa wakienda kombo.........Hakuna mtu mzima mwenye akili timamu anaweza kuamini for a minute kuwa Nassari anataka watu wa kaskazini wajitenge! Binafsi napinga kabisa. Ni kauli ya kitoto, pengine ni munkari na mbwembwe za kisiasa lakini kamwe sio mkakati wa kujitenga. Yes, si kauli ya kuungwa mkono hata kidogo na mwenyekiti wake aliitolea maelezo pale pale na sasa Nassari mwenyewe amefanunua, ifike mahali sasa for people to grow up na deal with bigger challenges and not some petty petty issues.
Mkuu Pasco unaposema alikuwa anahamasisha na si lengo la kuvunja nchi unamaanisha nini? ana muhamasisha nani na kufanya nini?...... Hilo la mkeo siliingilii ingawa unajua wazi hilo ni kosa duniani kote na halijawa halali kwasababu tu hojaomba msamaha kwa mkeo...... Kauli hizi unazoita za mkwara hazina tofauti na za kina Magufuli na kupiga mbizi au watu wale manyasi lakini ndege ya rais inunuliwe...... Tufikie mahali tuweke utaifa kwanza. kauli,matendo, na chochote kile ambacho hakina afya kwa Taifa letu kikifanywa na mtu yeyote tukikemee kwa umoja na si kuanza kuzijengea justficationMkuu JMushi nakuunga mkono. Cha muhimu sio matamshi ya Nasari hicho ni kitendo tuu, the motive behind and underlying factors zina justfy kauli ile ni kwa lengo la kuhamasisha na sio kwa lengo la kuvunja nchi!. Mimi nilioa nikiwa kijana sana na nilioa mwana habari mwenzangu tuliekuwa class mates chuoni. Baada ya kuona jinsi wake za watu wanavyotendwa kwenye media nikampiga mkwala kuwa siku nikisikia na wewe unayafanya hayo be it na mabosi au sources, mimi naua!. Lengo la statement lilikuwa ni mkwala tuu to be on her guard. Yeye alinishikia bango eti nimemtishia kumuua!. Sikuomba msamaha mpaka kesho and the rest was history!. Unasimama na unachoamini no matter what!. Vivyo hivyo kwa Nasari kwa vile the motive behind sio kuvunja nchi bali kujenga hamasa, lazima asimame imara na good faith yake!. Hakuna kuomba radhi wala msamaha!. Sasa sana labda afute tuu kauli kwa vile imeeleweka vibaya ila ujumbe ni valid na genuine!.
kabla huyu mzee mganga hajafa aliwah toa kauli Nzito na mbaya kwa taifa linalo amini uhuru wa watu kujitawala.
Kauli yenyewe"Mtu yoyote ambae atachukua form ya kugombea Uraisi na kushindana na aliepo ATAKUFA" Tena kwenye vyombo vya habari.
Je police mliwahi kumuhoji huyu mzee kwa kauli yake hyo.
Ikulu kupitia kurugenzi ya mawasiliano walisema ni Maoni yake kwanini hili tamko la NASSARI kuonekana baya zaidi?
Kama si kumpa umaarufu tu huyu dogo,Kauli za magufuli nazo huwa za uchochezi mbona hamjawah kumuhoji.
Mytake-kamateni wahujumu uchumi maneno hata kwenye kanga yapo.Nassari mtu mdogo sana katika nchi.Potezeni muda kulinda rasmali za watanzania
Tatizo sio kauli ya Nassary wanaJF wenzangu bali ni UBUNGE wa Arumeru mashariki na Arusha mjini.
Tatizo sio kauli ya Nassary wanaJF wenzangu bali ni UBUNGE wa Arumeru mashariki na Arusha mjini.
kabla huyu mzee mganga hajafa aliwah toa kauli Nzito na mbaya kwa taifa linalo amini uhuru wa watu kujitawala.
Kauli yenyewe"Mtu yoyote ambae atachukua form ya kugombea Uraisi na kushindana na aliepo ATAKUFA" Tena kwenye vyombo vya habari.
Je police mliwahi kumuhoji huyu mzee kwa kauli yake hyo.
Ikulu kupitia kurugenzi ya mawasiliano walisema ni Maoni yake kwanini hili tamko la NASSARI kuonekana baya zaidi?
Kama si kumpa umaarufu tu huyu dogo,Kauli za magufuli nazo huwa za uchochezi mbona hamjawah kumuhoji.
Mytake-kamateni wahujumu uchumi maneno hata kwenye kanga yapo.Nassari mtu mdogo sana katika nchi.Potezeni muda kulinda rasmali za watanzania
Tatizo sio kauli ya Nassary wanaJF wenzangu bali ni UBUNGE wa Arumeru mashariki na Arusha mjini.
Hivi karibuni mbunge wa Arumeru Mashariki J. Nassari alikaririwa na vyombo vya habari akitoa matamshi fulani (yanayoonekana kama ya kichochezi) juu ya kanda ya kaskazini kujitenga na kumzuia raisi kufika/kuitembelea Arusha. Kauli hizo za Nassari kwa kiasi chake sio nzuri na wala hazipaswi kutamkwa na kiongozi yeyote na haswa haswa kutoka CHADEMA (kumbuka CHADEMA inahusishwa na ukanda).
Wengi wamejitokeza haswa hapa JF kumtetea Nassari huku wengine wakirefer kauli nyingine mbovu zilizowahi kutolewa na viongozi mbalimbali. Mi naamini kumtetea Nassari hatumsaidii wala hatumjengi kisiasa, jambo la msingi ni wote tukubali kuwa Nassari alikosea na kama tunampenda basi tumlazimishe aombe radhi na kufuta kauli na sio kumtetea wakati kosa lipo wazi na linaonekana kwa kila mtu.