Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Wewe unatafuta thread yako ipate wachangiaji wengi kwasababu humu ndani CDM wapo wengi kwa taarifa yako thread kama hizi hunipati
Ahsante mkuu nimeipendaKweli vijana wa CCM mmekumbukwa!
Wewe si kijana, bali ni mzee uliyechoka. Hakuna vijana wowote wanaoweza kutoa mawazo kama yako hapo Arusha. Mbona huelezi ni kitu ilichoanza kuwafanyia hiyo ccm yako.Kwanza wewe haupo cdm bali upo huko huko ila inataka support ya vijana unaotamka.Sasa hivi sisi vijana wa Arusha tunategemea kujiondoa CHADEMA na kuhamia CCM, kwa sababu CCM imeanza kumkumbuka kijana wa kitanzania na inaonyesha njia ya kutatua matatizo ya rushwa, ufisadi, makundi mbalimbali. Kama unachukia wewe chukia tu, habari ndiyo hiyo. :first:
bila shaka wewe sio wa kutoka arusha
Mimi nipo Arusha na ni mwanachama wa CHADEMA lakini nimeshapata ushawishi wa vijana 10000 mpaka sasa hivi wenye kadi za CHADEMA. Kwa hiyo namsubiri Nape afike A - TOWN kuvisha watu uzalendo.Na muelewe kwamba nguvu ya uma ipo CCM.
nakuhurumia sana kwa kuwa umekua binadamu wa kwanza kuonyesha udhaifu wa hali ya juu ninamashaka hata kama unaitambua jinsia yako maana unaweza kuomba kubadilisha at any time ukipata ushawishi tu.mimi nipo arusha na ni mwanachama wa chadema lakini nimeshapata ushawishi wa vijana 10000 mpaka sasa hivi wenye kadi za chadema. Kwa hiyo namsubiri nape afike a - town kuvisha watu uzalendo.na muelewe kwamba nguvu ya uma ipo ccm.
Sasa hivi sisi vijana wa Arusha tunategemea kujiondoa CHADEMA na kuhamia CCM, kwa sababu CCM imeanza kumkumbuka kijana wa kitanzania na inaonyesha njia ya kutatua matatizo ya rushwa, ufisadi, makundi mbalimbali. Kama unachukia wewe chukia tu, habari ndiyo hiyo. :first:
Sasa hivi sisi vijana wa Arusha tunategemea kujiondoa CHADEMA na kuhamia CCM, kwa sababu CCM imeanza kumkumbuka kijana wa kitanzania na inaonyesha njia ya kutatua matatizo ya rushwa, ufisadi, makundi mbalimbali. Kama unachukia wewe chukia tu, habari ndiyo hiyo. :first: