Et mtaalam hii ya kulogamtu akafa halafu kumbe amegeuzwa kuwa msukule hii imekaaje pia mtu anadhin
Na mke wa mtu halafu mme akijua yule mwanaume chururu yake inapotea hiyo nayo ipoje adocto
Mmhhh pole sana mtoa maada sa huyo mme wako hasomi huu uzi?.kuhusu kufumaniwa usifanye hivyo hujui mmeo anaweza pata kisingizio cha kukukil ili aendelee na kimada wake chakufanya tax drive mpe mkanda mzima asepe kusiko julikana na huyo wapili mwambie nae asije kujiachia zaid yatamukuta ya...
Mmmh hiyo kali nami naungana na mdau aliyesema kuwa kabla hujamwaga mboga ungemwita ukamuonya angekaid ndipo ungefanya kweli.nahuyo akikupatia nafas atakupiga sumu hivyo uwemwangalifu umeshaandaa adui katika maisha yako.
Kiswahili rahisi wanaita NGILI inaweza kukutokea sehemu ya juu kwenye kinena au mahali mavuzi yanapo anzia kuota pia inaweza kushuka kwenye kolodani yaani kwenye pumbu kwa ndani cyo nje hivyo inamadhala ukichelewa tiba inauwa vitu vya kuepuka kutumia maji barid kwa kunywa au kuoga we kama...
Mutoa maada hunakazi yakufanya pita hivi ukojoe ulale.unahoji mamulaaka hivyo we alivyokua anaandaa mauwaji ya watu wasiyokuwa na hatia we uliona safi bac muosha huoshwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.