idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Yaani huyo jamaa akikatwa kelele zitapigwa na akiteuliwa kelele zitapigwa tu.Yaani watu wanasubiri kuona kama Lowasa yupo 5 au la, yaani watu wako busy kufuatilia kisa mtu mmoja tu
Yaani huyo jamaa akikatwa kelele zitapigwa na akiteuliwa kelele zitapigwa tu.Yaani watu wanasubiri kuona kama Lowasa yupo 5 au la, yaani watu wako busy kufuatilia kisa mtu mmoja tu
Hadi ifike jtatu hili neno la "AMEKATWA" litakuwa limeandikwa na kutajwa ziadi...
Hahaaaaaaa
Nimecheka sana.!