Ni wazo lililoenda shule sana, ila shida inabaki kuwa utatumiaje kadi wakati watu asilimia 90 hawana akaunti benki na pia nchi haina hata vitambulisho vya utaifa? Safari bado ni ndefu
Halafu Magufuli aondoe hii dhana kuwa yeye ndio atatuletea maendeleo. Kila mtu atajiletea maendeleo yake, yeye aweke mazingira tu na kuimarisha demokrasia
Katiba ya Warioba ndio kila kitu waziri mkuu wangu Majaliwa. Hivi kumbe mafisadi walioundiwa mahakama ni watumishi peke yao na sio wale wa Meremeta na Escrow
Huyu kijana Anthony Mavute ana future kubwa sana kwenye siasa za nchi hii. Magufuli amelamba dume hapo sio wale wananii wa bongo fleva akina Februarry Marope na Miguu Chema na yule mpiga ngoma Uuye. Mavumbe yuko vizuri sana ni mtu wa kazi kwanza maneno na media baadaye
Hawa NEMC nao watupishe huko, lazima waruhusu mabadiliko yanayoendana na wakati. Kule Pemba tumeambiwa kuna hotel vyumba viko ndani kabisa ya bahari unawaona Nyagumi wanavyopita ukiwa umelala. Wao wanatakiwa kushugulika na maeneo hatarishi na yale yenye hifadhi ya mikoko. Sasa pale Malaika ni...
Yule alikamatwa na rushwa alikuwa Mbunge wa BAHI Dodoma nadhani na sasa amerudi tena. Huyu waziri ni mbunge wa Kisarawe kama sikosei ndio aliyemdondosha kipenzi cha wengi Bw Kingwendu Ngwendulile
Kama kuna mdada anatumia hiyo kitu na anakaribisha maombi mapya ani PM tufanye biashara. Huwezi jua naweza kukutana na kitu cha K NIBANGUE niwe naitamani kila dakika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.