calculator
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 279
- 137
Nipo maeneo ya katikati ya mji, watu wanaongea kuhusu tukio la jana Morogoro, yani wanakilaani sana hiki chama. Jana nlikuwa kwa wifi yangu kata ya KIMANDOLU, hamna tena dalili za CHADEMA kule. Ofisi ya kata yenyewe imeshindwa kulipia kodi vyumba viwili mpaka wamepokonywa chumba kimoja wamebaki na kimoja tu maskini. Nawaonea huruma sana.