Waziri mkuu: Tutabadilisha sera na sheria ya sasa ya kuwaenzi waasisi na viongozi wakubwa mafisadi

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,961



Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema bunge lipo na mchakato wa kubadilisha sheria, sera na kanuni ili kuendana na mabadiliko ya wakati sasa ambayo viongozi wakubwa wa nchi wamekuwa wakiiba na kujilimbikizia mali.
Ameongezea pia wameunda taasisi ya maadili ya utumishi ambayo inahakikisha kila mtumishi anatangaza mali zake na kuefuatilia ongezeko za mali hizo kama zinaendana na kipato cha mtumishi huyo.
Amesema siku chache zijazo bunge litapitisha muswada wa kuanzisha divisheni ya mahakama ya mafisadi ili kuweza kupambana na watuishi mafisadi
 
Katiba ya Warioba ndio kila kitu waziri mkuu wangu Majaliwa. Hivi kumbe mafisadi walioundiwa mahakama ni watumishi peke yao na sio wale wa Meremeta na Escrow
 
kama kiongozi fisadi kwa nini usimpeleke mahakamini? naona ufisadi ni mfupa mgmu kwa serikali
 
Back
Top Bottom