Recent content by Kim Jong Un

  1. K

    Mwanaume, kitu muhimu kwenye Mahusiano ni kumuongoza Mwanamke

    Moja ya uzi muhimu sana. Ila wanaume wa Dar hawauoni kabisa. Wanajadili tu namna ya kufanya uzinzi kimasihara.
  2. K

    Nafanya kazi lakini nahisi kama nimeshafukuzwa

    Nakwambia Neno hili lishike sana kijana. Never overestimate your importance" that's typical egoism. Acha kujiona we ni Bora sana hata kama ndani mwako au kiuchapakazi unaona hivyo. Jishushe piga kazi tena zidisha zaidi ya hapo ulipokuwa unafanya. Waelekeze na wasaidie zaidi Wote wanataka msaada...
  3. K

    I am looking for a Swahili tutor to start a project with me teaching swahili classes online

    Ulijuaje kuwa hii forum nu matangazo madogo mdogo
  4. K

    Vifaa vya maabara vinauzwa

    upo mkoa gani
  5. K

    Nani/ wapi wanahitaji kibarua/ mfanyakazi jijini Mwanza?

    Hili nadhani ni tatizo la wengi sana, kwanini hukumbuki kuweka contacts zako kwenye post yako. Just do it now
  6. K

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Uzi huu utaishi wote mtakuja mtauacha unaendelea
  7. K

    Mwenye dhamana ya TAMISEMI sio Jafo

    Wanabodi Muundo wa wizara ya TAMISEMI ulivyo unaanzia kwa Rais mwenyewe kama waziri Mwenye mamlaka ya hii wizara. Kwamfano mamlaka ya kuteua baadhi ya nafasi Huko halmashauri yapo Chini ya waziri na Rais anateua hizo nafasi kwasababu yeye ndo mwenye dhamana ya wizara. Hivyo maamuzi yeyote...
  8. K

    Msaada: SMS ninazochat na mwanafunzi zimekamatwa

    Pole sana kaka nakuhakikishia Hakuna kitakachokupata kazi hutapoteza wala Familia haitaharibika, chakufanya sasa nenda kwa mzazi kamwombe msamaha sana mbembeleze. Ukimaliza kama mzazi reaction yake bado mbaya nenda kwa mkuu umweleze ulipofikia. Atakushauri cha kufanya. Ushauri wangu acha pombe...
Back
Top Bottom