Nakwambia Neno hili lishike sana kijana. Never overestimate your importance" that's typical egoism. Acha kujiona we ni Bora sana hata kama ndani mwako au kiuchapakazi unaona hivyo. Jishushe piga kazi tena zidisha zaidi ya hapo ulipokuwa unafanya. Waelekeze na wasaidie zaidi Wote wanataka msaada...
Wanabodi Muundo wa wizara ya TAMISEMI ulivyo unaanzia kwa Rais mwenyewe kama waziri Mwenye mamlaka ya hii wizara.
Kwamfano mamlaka ya kuteua baadhi ya nafasi Huko halmashauri yapo Chini ya waziri na Rais anateua hizo nafasi kwasababu yeye ndo mwenye dhamana ya wizara.
Hivyo maamuzi yeyote...
Pole sana kaka nakuhakikishia Hakuna kitakachokupata kazi hutapoteza wala Familia haitaharibika, chakufanya sasa nenda kwa mzazi kamwombe msamaha sana mbembeleze. Ukimaliza kama mzazi reaction yake bado mbaya nenda kwa mkuu umweleze ulipofikia. Atakushauri cha kufanya.
Ushauri wangu acha pombe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.