Mwaka 2015,kama mtanipa support ya kutosha natangaza nia ya kugombea na kuwa mbunge wa jimbo hili la MAGU.Nawatafuta wadau wa chama changu toka jimboni lakini inakua ngumu, kama mko nda ya JF tuanze kuwasiliana mapema,nitajieni baadhi ya vigezo vya kuwa MP Tanzania.
Chonde chonde,fikeni jimbo la magu mwanza mjionee hali ilivyo tete.Wananchi hawana maji wakati ziwa VICTORIA ni mita 500 tu,mbunge Dr.LIMBU alishaenda Honeymoon tangu achukue ubunge.umeme umeshakuwa dili siku hizi.Masiki wa mungu Hospital ya Wilaya kichekesho,wauguzi na madaktari wameshakata...
Nimekuhurumia sana,na kwa maelezo hayo waonekana mzazi wangu,pole sana,mimi sikulaumu sana kwa kua mwana ccm,ila ndo kilikua chama pekee kipindi hicho.ila usiendelee kuvaa majezi ya ccm mitaani,watakuja wakutoe sadaka kabisa.
Cc ni vjana wa m4c hai kwa siasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.