Waziri Muhongo azomewa!

Waziri Muhongo azomewa!

Katika hali isiyo ya kwaida jioni hii, waziri muhongo amepetwa na kadhia ya aina yake hapa Dodoma alipokuwa akitoka kwenye duka la madawa. Vijana ambao wanasadikiwa kuwa madereva wa Bodaboda na wachuuzi, yaani wamachinga, walianza kumzomea kumuita “chura! Chura! Chura! Chura!” hali iliyompelekea Bw. Muhongo kutembea kwa haraka kuelekea kwenye gari iliyokuwa ikumsubiria pembezoni mwa barabara. Baada ya kufika kwenye gari, waliondoka kwa kasi ya ajabu kuelekea ofisi za bunge huku vijana wakiendele akumzomea !

My Take:
Huu ni mwanzo mbaya kwa hawa viongozi wenye dharau na wakorofi wa CCM. Watazomewa sasa hivi mpaka watakoma. Huyu muhongo angejaribu kujifunza ustaarabu kutoka kwa Mawaziri wasaidizi wizara ya Nishati na madini waliomsaidia kujibu maswali

images

mkuu umejaribu kumwangalia vizuri dk slaa usoni ndiye hasa anafanana na chura wala siyo muhongo waangalie vizuri wote halafu linganisha vizuri.
 
Mbona viongozi wa awamu hii wana taabu sana. Huyu ni Chura. Nasikia mwingine ni Sokwe, na mwingine Kiroboto!!
 
Hakukuwa na mbunge wa CHADEMA karibu ili akamatwe kwa kusababisha kiongozi kuzomewa?
Kwa jinsi walivyo wapumbavu, hukawii kusikia mbowe alikua hapo

baadh a wanapropaganda wamepoteza dira hadi wamekua kama mataahira
 
Na mimi ngoja nipate angalau kanafasi ka kumzomea humu JF, Chura! Chura!Chura!Chura huyo aliyekuja na ahadi za kusadikika ameshindwa kuzitimiza ohoo mara mgao wa umeme utakuwa histori, Chura! chura!churaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
.....
Huu ni mwanzo mbaya kwa hawa viongozi wenye dharau na wakorofi wa CCM. Watazomewa sasa hivi mpaka watakoma. Huyu muhongo angejaribu kujifunza ustaarabu kutoka kwa Mawaziri wasaidizi wizara ya Nishati na madini waliomsaidia kujibu maswali

images

Hasa yule Mwanasheria mrefu naibu wa mambo ya umeme anabusara sema mfumo unafungafunga kutumia busara zake sawa sawa....nahisi anaweza kuwa muadilifu...!
 
Anafikiri watanzania wote ni wanafunzi wake wa Geology pale UDSM,hivyo basi anauwezo wa kuwafelisha au kuwafaulisha.

Hajui ya kwamba kuwa Profesa haina maana wewe una akili nyingi kuliko watu wote Duniani,kuna watu wana akili kuliko yeye lakini hawakupata bahati ya kukanyaga shule kabisa kwasababu moja au nyingine.

Huyu jamaa ni bora tu arudi darasani akafundishe hili yale majigambo yake akawafanyie wanafunzi wake.Hana sifa ya uongozi ni mtaalamu tu aliyebobea katika fani yake.

Unatakiwa uwe kiongozi kabla ya kuwa na Elimu,hiyo elimu itakusaidia kuongoza vizuri na kwa maono.
 
Hasa yule Mwanasheria mrefu naibu wa mambo ya umeme anabusara sema mfumo unafungafunga kutumia busara zake sawa sawa....nahisi anaweza kuwa muadilifu...!

JK na Pinda inabidi wamuonde huyu mtu. Mmoja wa wasaidizi wake wapewe full ministry. Muhongo ni mshenzi sana. Anaropoka na kujawa dharau.

wewe mtu anamuua mama watoto wake kwa sababu hampendi unadhani atamjali nani?

Huyu mzee ni mchawi mwenye roho ya korosho. Ni bora azomewe mara 100
 
Chura wa kijani mwenye dharau Muhongo mwaka huu atajuta kujiingiza kwenye siasa.
 
Ameyataka mwenyewe. Lugha yake ni ya kibabe mno. Manaibu wake ni wastaarabu na tena wamemfunika sana hata wakati wa presentation ya leo.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Mimi sishangai kwa hayo anayoyafanya maana yeye alishasema si mwanasiasa. Hao manaibu wake wanaweza kujbu hoja kisiasa kwa kuwa wao ni wanasiasa.
 
Back
Top Bottom