Gilbert wewe ni Mtu wa maombi nakufahamu muombee Rais wako Badala ya kumlaumu amewatukana huko kwenu niende Mkafunge Na kuomba Na Mungu aliyeziumba mbinguni Na nchi atawapa jibu la jambo Hilo.
Yeye anaweza kumbadilisha na kumfanya Kuwa jinsi wewe utakavyo awe. Ndg yangu Mzee wa Umeme umepewa...
Mkuu kwanza wewe unapaswa Kuwa-arrested kuhojiwa Na Kuwa responsible before cour2 of law Kwa kushindwa kuzuia kosa.Upo contrarily agains2 Ka2ba ya Jamhuri ya Muungano wa 2anzania.Kinyume Na Sheria Ya makosa ya jinai "Failure 2 prevent felon"
Ulipomuona anara2ibu ulipuaji huo wewe ulichukuwa...
Mkuu mmawia wapinzani hawawezi kupewa ushindi even Kukiwa Na open fraud au ufisadi wakupindukiwa huko serikalini Na green color kama chairman wa NEC will be elected by on-going president from green color.Do you expect amuangushe bosi wake akupe wewe madaraka ya nchi?
Hii naiona kama nightmare...
Mkuu Gaza nilikuwa nasubiri sana kusikia jambo hili welldone Mbwana we are proud of him.amefungua pazia sasa aendeleze ili foreigners wa proof his awards..Swali Nina Malichoice DS2V Na Azam. Ni channel gani. Na no.ngapi? Hapa naona man Na arsenal
Mimi si wapigii debe lakini nadhani Equity Bank ni wazuri kama wewe ni mwananchi wakawaida Kwa account zo2e : 1.hawachukui monthly charges ie. No maka2o ya mwezi.
2.Ukiweka pesa yako ha2a mwaka u2aichukua kama ilivyo
3.Unaweza...
Ni Kweli ndg yangu ni iPad sasa inagoma herufi '2' Na namba V kama wewe ni m2aalamu Niambie nikule2ee unirekebishie.au nipe ujanja. Kama Muongozo wako.kuna m2 aliniambia niondoe screen protector ikawa mara ikubali mara inagoma lakini Maneno ya kiingereza inakubali herufi 2iii no.V ndiyo...
Humu JF kuna wa2u wako vizuri kifedha Na pia wanamiliki makampuni Na wanaajiri.Aidha pia wanao marafiki wakurugenz kwenye sector binasi pia serikalini.
Ajabu when happened JF member mwenze2u yupo kwenye Shida kubwa.hali mbaya mpaka kufikia kushindwa ku-run familia.huoni m2u yeyo2e anayechukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.