SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,765
Kwani hujasoma ule uzi wangu kuwa UKAWA imeshakufa?
Wewe ndiyo umekufa kama yule Tyson wenu.
Kwani hujasoma ule uzi wangu kuwa UKAWA imeshakufa?
kwani uzi wako ndio nini?Kwani hujasoma ule uzi wangu kuwa UKAWA imeshakufa?
Ukimya huu utaiponza Ukawa at high cost. Iteni vyombo vya habari wekeni kila kitu wazi Mwisho mtumieni mkuu wa nchi ujumbe 'Angalisho' '
Sasa hivi imekuwa fasheni wabunge wetu kukamatwa hasa maeneo niliyotaja kwenye uchaguzi ambao ni dhahiri Ukawa wana uwezo wa kupata meya.
Ajabu viongozi wa juu mko kimya kwa nini? Mumechoka na kuona bora liende? Wananchi ndio waliowachagua madiwani kwa nini wanyimwe haki yao ya kuongoza hizo halmashauri?
Nawashauri muitishe press tena live coverage kwenye Tv zetu na kutueleza kwa nini wabunge wetu wananyanyasika kiasi hiki?
Hivi kweli miaka ijayo watu watajitokeza kugombea kwa vyama vyetu kama mateso ndio haya?
Kimya chenu kinatutia hasira sana na sisi hatuwezi kukubali unyonge huu abadani.
PSE haraka sana tuambieni na taifa lijue maana wapo wanaoaminishwa kuwa wabunge wa Ukawa ni wakorofi na kupoteza maana ya wanachopigania.
CHADEMA haina viongozi wa juu!Sasa hivi imekuwa fasheni wabunge wetu kukamatwa hasa maeneo niliyotaja kwenye uchaguzi ambao ni dhahiri Ukawa wana uwezo wa kupata meya.
Ajabu viongozi wa juu mko kimya kwa nini? Mumechoka na kuona bora liende? Wananchi ndio waliowachagua madiwani kwa nini wanyimwe haki yao ya kuongoza hizo halmashauri?
Nawashauri muitishe press tena live coverage kwenye Tv zetu na kutueleza kwa nini wabunge wetu wananyanyasika kiasi hiki?
Hivi kweli miaka ijayo watu watajitokeza kugombea kwa vyama vyetu kama mateso ndio haya?
Kimya chenu kinatutia hasira sana na sisi hatuwezi kukubali unyonge huu abadani.
PSE haraka sana tuambieni na taifa lijue maana wapo wanaoaminishwa kuwa wabunge wa Ukawa ni wakorofi na kupoteza maana ya wanachopigania.