Recent content by Kikubwa Pumzi

  1. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    Ni kweli. You're very very right, thanks.
  2. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    Kila ulichoandika upo sahihi ndio uhalisia wangu 1-4.
  3. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Muziki Mzuri wa Africa Umefichwa Wapi? Wajuzi Tushirikishane

    Kuna muziki wa Africa ambao ni nadhifu sana, lakini ni nadra kuusikia radio, TV, social media, clubs au mainstream. Mimi napenda muziki kwa sauti, vyombo, vibe, melody, lyrics na production — sio kwa sababu tu ume-trend. Hii ndiyo aina ya playlist ninayoizungumza: 🎵 Black Tax – Just B 🎵 Chai...
  4. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    Natafuta sehemu nzuri ya kwenda weekend na demu wangu—pawe na bia baridi, muziki mzuri na vibe nzuri, lakini sio sehemu ya kelele za kupitiliza au vibe la “kitambaa cheupe” 😂. Vigezo vyangu: 🍺 Bia iwe around TSh 3,000 — bei za kizalendo, sio 8k/10k+ kwa chupa. 🎶 Muziki mzuri — Bongo Flava...
  5. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Je, uhakika ya Ibrah ndio ni wimbo bora wa 2026 AU unabebwa na upepo tu?

    Wcb wasafi waliishia wapi ni kitambo siwasikii?
  6. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Kati ya hizi chini ipi ina muziki mzuri in general?? WKing D20 harman kardon soundstick 4 JBL boombox 3 Anker soundcore boom Motion plus
  7. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Wadau naomba recommendation ya model nzuri ya laptop ya mtumba ndani ya 800K–1M

    Achukue Lenovo ThinkPad T480 Core I5 8th Gen 16GB RAM 256GB SSD 14″ Windows 11 Pro Laptop.
  8. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Interview DP World: Wameshaita Waliochaguliwa?

    Hizi nafasi uwa mnaombaje mpk mnakuwa shortlisted? Ni hii hii linkedin?
  9. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Writing Samples ni nini? Na natuma nini nikitakiwa kwenye job application?

    Wakuu naomba msaada kidogo. Kuna kazi nimeomba (hasa za research na translation), wameomba nitume writing samples. Sasa hapa ndipo napata maswali: 👉 Hizi writing samples ni nini hasa? 👉 Natakiwa kutuma nini? Najiuliza: Je, natuma documents zote nilizowahi kuandika? (maana ni nyingi na zina...
  10. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Iran kuwaambia raia kukaa kwenye vinu vya nishati na madaraja kuzuia mashambulizi ya Amerika ni kiashiria kikubwa vita imeshaisha

    Ushindi wa Iran ni kukubali kukaa chini kwenye meza ya maridhiano wayajenge. La sivyo anaenda kupoteza sana nchi yake imeharibiwa mno na itamchukua muda kurecover
Back
Top Bottom