Recent content by Kikubwa Pumzi

  1. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Nimelipia Airtel 5G, Lakini Internet Haipo — Nani Atanilipa Hasara?

    Ishu sio kuachana nao, ishu ni utapeli wanaofanya naamini watu wengi wanatapeliwa kwa namna hii.
  2. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Nimelipia Airtel 5G, Lakini Internet Haipo — Nani Atanilipa Hasara?

    Ndio maana nataka nione kama naweza kushtaki ili kuondoa majibu ya mazoea.
  3. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Nimelipia Airtel 5G, Lakini Internet Haipo — Nani Atanilipa Hasara?

    Kwa kweli ilikuwa inafanya vizuri kabla, mara ya mwisho nilitumia mwaka huu January. Baada ya hapo sikuwai itumia mpaka hii leo. Nilipata kazi ilikuwa leo kutwa nzima niifanye kisha niiwasilishe jioni hii lakini mpaka sasa nimeshafeli. Na jamaa nimeongea nao kwenye huduma kwa wateja anaongea...
  4. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Nimelipia Airtel 5G, Lakini Internet Haipo — Nani Atanilipa Hasara?

    Jamani, nimelipia router ya Airtel 5G, lakini mpaka sasa sipati internet kabisa. Nimewasiliana na 100, nikaambiwa kuna tatizo la mtandao lililowakumba watumiaji wote na kwamba internet itarudi, na kwamba siyo tatizo la kifaa wala ufundi. Sawa, nikasema ngoja nisubiri. Lakini cha ajabu, mpaka...
  5. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    Ni kweli. You're very very right, thanks.
  6. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    Kila ulichoandika upo sahihi ndio uhalisia wangu 1-4.
  7. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Muziki Mzuri wa Africa Umefichwa Wapi? Wajuzi Tushirikishane

    Kuna muziki wa Africa ambao ni nadhifu sana, lakini ni nadra kuusikia radio, TV, social media, clubs au mainstream. Mimi napenda muziki kwa sauti, vyombo, vibe, melody, lyrics na production — sio kwa sababu tu ume-trend. Hii ndiyo aina ya playlist ninayoizungumza: 🎵 Black Tax – Just B 🎵 Chai...
  8. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    Natafuta sehemu nzuri ya kwenda weekend na demu wangu—pawe na bia baridi, muziki mzuri na vibe nzuri, lakini sio sehemu ya kelele za kupitiliza au vibe la “kitambaa cheupe” 😂. Vigezo vyangu: 🍺 Bia iwe around TSh 3,000 — bei za kizalendo, sio 8k/10k+ kwa chupa. 🎶 Muziki mzuri — Bongo Flava...
  9. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Je, uhakika ya Ibrah ndio ni wimbo bora wa 2026 AU unabebwa na upepo tu?

    Wcb wasafi waliishia wapi ni kitambo siwasikii?
  10. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Kati ya hizi chini ipi ina muziki mzuri in general?? WKing D20 harman kardon soundstick 4 JBL boombox 3 Anker soundcore boom Motion plus
  11. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Wadau naomba recommendation ya model nzuri ya laptop ya mtumba ndani ya 800K–1M

    Achukue Lenovo ThinkPad T480 Core I5 8th Gen 16GB RAM 256GB SSD 14″ Windows 11 Pro Laptop.
  12. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Interview DP World: Wameshaita Waliochaguliwa?

    Hizi nafasi uwa mnaombaje mpk mnakuwa shortlisted? Ni hii hii linkedin?
Back
Top Bottom