Wakuu Kwema? Nimeona ni vema tuelezane yafuatayo kwa upole tu;
1. Kupeleka watoto Shule Wakati uchumi umeshayumba kwa sasa ni kujiumiza..Mpeleke Mtoto Shule utakayoweza kulipa..Pambana na Hali yako
2.Kuendelea kutumia usafiri Wakati hela ya Mafuta imeshakuwa adimu ni kujiumiza..Tumia usafiri wa...
Historia inaonyesha kwamba wanaume hawazeeki Hata akifikia umri mkubwa bado thamani yake ni Kama makinikia baada ya kuondolewa dhahabu...Ndio maana hakunaga Mabibi na Mababu ni Mabibi na Mabwana kumaanisha kuwa wanaume hawazeeki![emoji12] [emoji12] ..
Sasa we Bidada endelea kujiegesha kwa Mume...
Kana nyakati mwanaume unafanya Jambo Ambalo hata ubongo haushirikishwi...Akili zikija kurudi unajishangaa..Kuwaza kwa kutumia 1200 ni shida aisee! Mungu atusamehe kwa Kweli. .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.