Last night at KFC mikocheni

Last night at KFC mikocheni

Urban gentleman
In most cases matatizo ya ndoa nyingi yanasababishwa kwa kiasi kikubwa na kina Dada (wake zetu) hasa pale wanaposhindwa kutimiza wajibu wao ipasavyo,mwanaume ni kiumbe dhaifu sana kwa mwanamke lkn inahitaji busara,hekima na akili ktk kumteka mwanaume,kikubwa mwanaume yyt anahitaji proper treatment ya kila kitu kuanzia
1.kitandani
2.misosi
3.unadhifu
4.wazazi
5.jinsi unavyo interact na jamaa,ndg na rafiki zake
6.kuacha magubu na kufatilia visivyo vya maana
7.challenge
Na mengineyo mengi ikiwemo kila SK kutafuta mbinu za kumfanya uonekane mpya kwake na kuacha kuishi kwa mazoea
 
Kuna Jidada Humu Linasema Halina Hisia Na Wanaume Wakati Lilikua Linalilia Jamaa Halitongozi. The Thirst Is Real!!!
 
Heeee
Kumbe Urban Gentlemen Umeooooaa? !
Du
Na kunisumbua kote kule mpaka nikaku block, kweli leo nimekamata mwizi!

Shame on u!
[HASHTAG]#PYTHONWAKIUMEAU?![/HASHTAG]
kwa maelezo yake hana hata miezi mitatu ndoani so umepiga teke bahati yako ya kuolewa
 
Ukifuatilia wanawake ama wasichana huwa wanalazimisha sana kuolewa "white wedding"
Nimeona kesi kama hizo kisa bwana harusi anatoka ukoo wa kishua binti anakwenda mpaka kwa walokole,waganga aolewe. Matokeo ya kuforce kuolewa ndio hayo. Dunia ya sasa sio kila mwanaume anahitaji kuoa na kukaa na mwanamke muda mrefu. Wataumizwa sana
 
hivi mara ya mwisho kuwa kwenye mahusiano sijui ni lini.sina hata hisia na mwanaume .akili zenu moja .
Cjui ulimwagiwa maji ya moto
Na mwanaume maana dhuuu!!!
Co
Kwa kutuchukia huku
 
Tufanye yoooote nje ya ndoa
Lakin mheshim mkeo
Wake zetu tuwaheshim
Kulingana na wao wanavotuheshim
 
Kana nyakati mwanaume unafanya Jambo Ambalo hata ubongo haushirikishwi...Akili zikija kurudi unajishangaa..Kuwaza kwa kutumia 1200 ni shida aisee! Mungu atusamehe kwa Kweli. .
 
Urban gentleman
In most cases matatizo ya ndoa nyingi yanasababishwa kwa kiasi kikubwa na kina Dada (wake zetu) hasa pale wanaposhindwa kutimiza wajibu wao ipasavyo,mwanaume ni kiumbe dhaifu sana kwa mwanamke lkn inahitaji busara,hekima na akili ktk kumteka mwanaume,kikubwa mwanaume yyt anahitaji proper treatment ya kila kitu kuanzia
1.kitandani
2.misosi
3.unadhifu
4.wazazi
5.jinsi unavyo interact na jamaa,ndg na rafiki zake
6.kuacha magubu na kufatilia visivyo vya maana
7.challenge
Na mengineyo mengi ikiwemo kila SK kutafuta mbinu za kumfanya uonekane mpya kwake na kuacha kuishi kwa mazoea
Ni kweli kabisaaa ila heshima muhimu

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom