Recent content by kikaragosi

  1. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nataka kwenda Nigeria

    utakuwa t
  2. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania Basi la Mwanza - Dar

    Mkuu gari la uhakika ni zuberi tena yutong utaenjoy zaidi,ila ukichukia GReen star umekwisha
  3. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania Majina ya Vijana wanaokwenda JKT

    Ww upo mkoa gani
  4. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimetumiwa ujumbe kwenye simu yangu kutoka Access Bank kwa ajili ya Interview

    Mi nakumbuka walinitumia sms mwaka jana ila yao ikiingia inajiandika direct access bank bt ilikuwa interview ya pili ya kwanza walipiga cm
  5. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania Usaili JKT

    duuuuu kazi ipo
  6. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania Majina pccb,pdf format

    NImejitaidi kuraisisha kazi maana kwa wanaujua kutumia PDF
  7. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania kwa wanaopenda kujiunga na jkt

    kwa wasiojua michakato inatangwa kwa ushauri mgambo wa wilaya,so mikoani wanaanza mapema bt kambini ni mwezi march mwakani ata mwaka jana ilikuwa hivyo ila mie nikatoswa mishoni kabisaa
  8. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania kwa wanaopenda kujiunga na jkt

    Asante bt kwa wilaya ya moshi mjini tayari imetangazwa kwa nlivyoambiwa na wenyeji wa kule
  9. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania Wanawake wananipenda kwa sababu sijatahiriwa

    Taztzo wanawake wanapenda kuona au kuonja vitu ndo waamini,that why unapga mzigo.mie msela wangu alikuwa anavaa shanga basi akipga demu anaenda kuwambia wenzake kufikiri ni shoga,basiiii kazi ikuwa pevu mademu kibao kapiga
  10. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania TANZIA Msanii Albert Mangwea afariki dunia

    Daaaaaaaaaaaah ndo jembe langu
  11. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania napata mchubuko wakati wa kufanya tendo la ndoa

    sure mkuu hiyo ndo suluhisho pekeeee
  12. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania Mimba kutoka limekaa vp wadau

    Mwezi wa pili mpz wangu aliniambia mimba imetoka ikiwa na wiki 5 na kwa mujibu wa ilo swala alisema eti amekunywa dawa cz alikuwa anaumwa tumbo,sasa alienda hospita akasafishwa na kipindi hizo mie nlikuwa safarini.Tatzo c mimba kutoka au ameamua kutoa mwenywe thn ajifanye imetoka ila toka siku...
  13. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania Angalieni madudu haya ya TBC leo asubui...!

    Eheeee kumbe hyo channel ipo bora nizime tv kuliko kuangalia habari nusunusu
  14. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania Sakata la Mitaala na Matokeo ya Kidato cha Nne: Mkurugenzi Mkuu Taasisi ya Elimu ajiuzulu

    Tatzo nchi inaendeshwa kisisasa sana
  15. kikaragosi

    JamiiForums Tanzania Mafuta ya KY-Jelly: Ni yepi matumizi yake sahihi?

    mmmmmmmmmh
Back
Top Bottom