Usaili JKT

Usaili JKT

mikazó

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
204
Reaction score
16
Jamani kwa wale wanaofanyiwa usaili dar hapo wilayani wa jkt watupe info kamili,nini kinaendelea hapo,.tafadhali mwenye taarifa atujuze ukweli zaidi
 
Kwa wilaya ya kinondoni usaili umefanyika leo asubui chini ya Meja Elias na team yake.

Kulikua na vijana zaidi ya mia sita..ila walopata baati ya kupita mchujo wa kwanza ni vijana wasiozidi Mia moja

darasa la saba mpk form six

kwa wastani jumla ya idadi ya form six walochaguliwa na kupewa karatasi ya kujieleza ni 8

kidato cha 4 walikua 85

na darasa la 7 walikua 60
::::
UTARATIBU WA MCHUJO
VIGEZO VILIVYOZINGATIWA VILIKUA WAZI.

1. UMRI
Meja Elias na wafuasi wake,waliita vijana walozaliwa kuanzia mwaka 1991 1996 tu hao ndo wamefuzu vigezo na wenye juu ya hapo wote walifukuzwa bila kujali
elimu walonayo wala miezi

2.VYETI HALISI
meja Elias aliwafukuza tena vijana waliokidhi kizezo cha umri lkn hawakua na vyeti bali result slip.
Waligoma kupokea result slip kwaiyo ikapunguza idadi ya watu kwa mara nyingine ktk makundi yte matatu.

3.URAIA WA TANZANIA
iki pia kilitokea pale kuna vijana wawili waliondoshwa kwa madai ya kutokua raia wa Tz

so kwa Kinondoni icho ndo kilichojiri leo asubui uku ikishuhudia idadi kubwa ya vijana wa kikosa nafasi. Idadi yao kwa haraka ilikua ni zaiidi ya 500.
 
Mambo yanazidi kuwa magumu kila kukicha...ngoja tusubili nafasi za graduates huenda zikatangazwa......
 
Back
Top Bottom