Dada Regia wewe ni jembe la ukweli. HONGERA SANA KWA ULOTEKELEZA, natumaini mwaka huu utatekeleza mengi zaidi. Tupo bega kwa bega hadi kieleweke 2012. Mungu akupe nguvu na hekima zaidi uwatumikie wananchi wako kikamilifu. Nilikuona mara ya kwanza mlipokuja Mzumbe na kina Dr wa ukweli...
Hayo mbona yanasemwa kila mahali na kila mtu mkuu? Hakuna jipya hapo. Huyu bwn amekua msaníi sana,hakuna maisha bora aliyoahidi bali sasa imekua bora maisha. Ahadi kibaaaaoo zakuombea kura, baada ya hapo anajichimbia. Uchumi unaopaa hatuuoni. Ufisadi/mafisadi ndo kabisa usiseme...
Kwa kweli majibu hayo kwa mtu yeyote si mazuri, sembuse mke? Kama wengi walivyosema wanako kaugomvi flani kt yao, tungepata maelezo ya upande wa pili tungeona pia mapungufu ya huyo mke wake. Mi naona haiwezikuwa kategwa kama mchangiaji alivyosema hapo juu kwa vile mtoa thread katuhakikishia kuwa...
Teh teh teh teh! Fowardline mbovu? Cant help laughing. Nimeipenda. Final third department is not clinical. Ndo yale yale mbwa mzee asofunzwa mbinu za kuwinda. Daah! 3rd yr? Unatuangusha wanaume. Chuo gani upo?
Mh. Mnyika big up kwa sana. Bado tunaomba ufuatilie suala la kibosile wa dawasco kujiunganishia maji kata ya Mbezi Lois mtaa wa Makabe baada ya kufanikiwa kuuzima mradi wa maji uliokuwa unatekelezwa na wachina, na kwa sasa amekua suplier mkubwa wa maji eneo hili kwa bei ya tsh 200 kwa ndoo...
Dr. Chichi, nadhani asimdanganye huyo mrembo.Kama keshampenda achukue jumla aweke ndani awe anajilia 'indoor'. Tatizo hapa dem keshatoa tunda hana ujanja tena, alipaswa kuleta hoja yake hyo kabla hajakubali kuonjesha asali yake. Mzee nakushauri wewe usitishwe na swali, kama umependa weka...
tusiwe wavivu wa kufikiri. Hizi dini zipo siku zote tangu enzi za mwinyi?, kwani enzi za mzee ruksa yalikuwepo? Ama naye alikua mkristo? Tuwe wakweli, uongozi wa bwm na jmk ni vitu tofauti sana. Japo bwm naye hakuwa mkamilifu ila huyu amezidi kuharibu by far. Call a spade a spade bwn
Hivi maelezo yako yanajustify dereva kutumia bastola na kujeruhi watu? Halafu unahoji eti dereva ana kosa gani? Wewe kumbe bure kabisa! Wanaokutegemea unawashauri nini?Mijitu mingine hovyo!!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.