trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
kwa hiyo Sumaye atamwachia Lowassa agombee..
Mzee siasa sio uadui, uadui uko kwenye sera na utekelezaji wake ndivyo wanamageuzi wanavyoaminiKuna siku moja nilikuwa nimelala Chumba cha juu pale Dod6a Hotel, Chumba cha chini yangu kulikuwa na Mwenyekiti wa Chama kimoja maarufu sana cha Upinzani wanakunywa pombe na Chenge na Lowassa now I see the picture very clear!
Katika harakati zake za kujinasua katikaa kufukuzwa uanachama wa CCM na vikao vya chama, EL ana watu ambao wapo tayari kufa nae.
Hawa ni:
Mbunge wa Kigoma Mjini mhe. Peter Serukamba,
Januari Makamba,
Karamagi Nazir,
Sofia Simba,
Kusila (m/kiti wa CCM Dom),
John Guninita (m/kiti Dar)
Ongeza orodha, wewe unamjua nani???
Nawasilisha
Kama lowassa atasimama na kutoa firm decision kwenye suala la uchumi, bora lowassa. Kama lowassa atasaidia vijana ajira iongezeke na hela za shule, bora lowassa.kama lowassa anatambua bomb linalotegemea kulipuka, na kulitatua bora lowassa. Kama lowassa hata simama na kucheka, na kutusaidia kwenye hili janga, then bora lowassa.
Au tumuongezee JK 5 years ajisahihishebasi tumpe lowassa 10yrs tuone kama anafaa!!!
Mkuu nadhani hao jamaa wa shinyanga wanamkumbuka EL kwa ushujaa wake wa kuwapelekea maji toka ziwa Victoria pamoja na vitisho toka Misri lakini EL alienda Misri na kusema serikali inafanya uamuzi [mgumu] wa kupeleka maji shinyanga na kahama. Mtu wa shinyanga akikumbuka bwawa la Ning'wa wakati huo na upatikanaji wa maji siku hizi basi hana budi kumuenzi EL.EL anaungwa mkono na watu wengi mno. Wee angalia hw he moves people when he speaks, kwa kweli wen it matters and making tough decisions ndugu yangu hujitolea.. Nilikua shinyanga, nikamkuta akielekea mwanza, watu walikua wengi mno wakimpokea, akawa anakataa misafara isilete picha mbaya. Kama ni impact na advantage EL aliyonayo, ni hayo aliyoyatenda kwa wananchi wengi sana.
Mkuu W.J. Malechela, bora kusimama uch... hadharani lakini kwenye kweli kuliko kuvaa nguo kwenye ubatili.Wakuu Philemon na Pasco, mbona mnajivua nguo hadharani? DUH!
basi tumpe lowassa 10yrs tuone kama anafaa!!!
Mkuu nadhani hao jamaa wa shinyanga wanamkumbuka EL kwa ushujaa wake wa kuwapelekea maji toka ziwa Victoria pamoja na vitisho toka Misri lakini EL alienda Misri na kusema serikali inafanya uamuzi [mgumu] wa kupeleka maji shinyanga na kahama. Mtu wa shinyanga akikumbuka bwawa la Ning'wa wakati huo na upatikanaji wa maji siku hizi basi hana budi kumuenzi EL.
Kama ni Dodoma Hotel, counter ni kijiwe cha Wabunge wa kabila fulani bila kujali tofauti zao kivyama. Hapo ni kijiweni tuu sio politics tactics!. Hata wakati vikao vya bunge vikiendelea, RA na mlamba miguu wake Seru wao bunge lao ndio pale garden!.Kuna siku moja nilikuwa nimelala Chumba cha juu pale Dod6a Hotel, Chumba cha chini yangu kulikuwa na Mwenyekiti wa Chama kimoja maarufu sana cha Upinzani wanakunywa pombe na Chenge na Lowassa now I see the picture very clear!
Mkuu W.J. Malechela, bora kusimama uch... hadharani lakini kwenye kweli kuliko kuvaa nguo kwenye ubatili.
Its not about EL, its about TZ, ile team ya Boys II Men ilipokuwa intact, kumbe the success lied upon EL, iliposambaratika matokeo ndio haya!.
Kwa vile kuna watu mnaanini kila mtetezi wa EL amelipwa, they are wrong!.
Kitakachomzuia EL asiwe mgombea wa CCM ni afya yake tuu, nothing else!. No one else!.
huyo pindi chana aende zake punjab. pindi chana recipe indian food.
Kuna siku moja nilikuwa nimelala Chumba cha juu pale Dod6a Hotel, Chumba cha chini yangu kulikuwa na Mwenyekiti wa Chama kimoja maarufu sana cha Upinzani wanakunywa pombe na Chenge na Lowassa now I see the picture very clear!