FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Na wewe mgumu tu kuelewa ..ameuliza mpango upi anataka kujua yafuatayo.
1. Mpango wako ni kula tunda tu na kuondoka zako?
2. Una mpango wa kumuweka ndani kama wife or?
utamalizia
1. Mpango wako ni kula tunda tu na kuondoka zako?
2. Una mpango wa kumuweka ndani kama wife or?
utamalizia