Hakika. jamaa alikuwa na uvumilivu sana. Kila siku alikuwa akiwapongeza wenzake huku akisubili zamu yake. Ni miongoni mwa watu waliodumu na huu uzi kwa mda mrefu.
Huyu kijana anayejiita Mfwende Sawadogo ni miongoni mwa vijana wa Mfano na wakuigwa. Kijana hajawahi kuwaonea wenzie wivu wala hajawahi kuwawekea wenzake kinyongo juu ya Placement. Yeye kila siku alikuwa anaamini siku yake itafika na hatimae imefika. Nimekuwa nikimfatilia kimya kimya sana hadi...
Mimi kupata INTERN nilipitiaTAESA . Nilifanya Interview nikapangiwa INTERN pale TRA, nikakomaa kwa miaka miwili. Mkataba ulipoisha tukaondolewa wakapatiwa vijana wengine nafasi ya INTERN. Ilikuwa mwaka 2020 hadi 2022. Ni utaratibu mzuri sana ambao unawapa vijana kuongeza CV yao.
Kuna watu naona wanalalamikia watu wengine kujitolea. Watu kujitolea sio kwamba wanapenda bali hali ya maisha inapelekea mtu kuamua kujitolea, Just imagine mtu kaomba kazi privates zaidi ya 80 anakosa, anaamua kuomba kazi Serikalini anakosa, wakati huo huo anahitaji kujitimizia mahitaji yake...
Shukran sana kiongozi, nimekuelewa vizuri sana. Unatupatia elimu ambayo itakuwa na manufaa huko mbeleni tukibahatika kuingia kwenye government. Now tunapambana na private huku.
Acha roho ya kichawi kiongozi. Kupitia huu uzi tunajifunza vingi sana. Mbingunikwetu anatupa nondo nzuri hata kesho tukiajiliwa serikalin tunakuwa tushajua hata pakuanzia.
Ndio lakini ni case chache sana zinatokea. Taarifa za vyeti huwa wanazituma baraza ili wahakiki kama ni vyeti halali. Ikitokea vyeti ni feki apo ndio mtu anaweza kukosa kazi hata kama placement imetoka utumishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.