UZUSHI Matiti ya mwanamke hudondoka yanapoguswa guswa na viganja vya wanaume

Baada ya tathmini, tumebaini kuwa taarifa hii ni ya uzushi
Kuna mwanamama aliwahi nipa ushuhuda kuwa matiti yake yalianza kuanguka akiwa na miaka 23 kutokana na mitomaso aliyokuwa anafanyiwa na mpenzi wake wa kwanza. Aliendelea kwa kusema kuwa, kabla ya kuanza michezo na wanaume alikuwa na chuchu dodo zilizosimama na kuchoma.

IMG_6646.jpeg

Hivi ni kweli kuwa matiti ya mwanamke yanapopapaswa na viganja vya mwanaume hupelekea kuanguka na kuwa ndala?
 
Tunachokijua
Binadamu kama walivyo wanyama wengine wanaopatikana kwenye Kundi la Mamalia huwa na sifa mbalimbali zinazowatenganisha na viumbe wengine. Baadhi yake ni;
  • Kuwa na manyoya
  • Kuwa na tezi za jasho
  • Huwa na tezi maalum za kuzalisha maziwa, maarufu kama mammary glands
  • Huwa na mifupa 3 kwenye sikio la kati
  • Uwepo wa eneo la Neocortex kwenye ubongo
  • Kuwa na meno yaliyotofautishwa muundo na muonekano
  • Moyo wenye vyumba 4 pia chembe nyekundu za damu zisizo na kiini (Nucleus) katikati
Kwa kurejea sifa hizi, mwanamke kama kiumbe kinachonyonyesha huwa na tezi kubwa zaidi za maziwa (Matiti) kuliko wanaume, pia huwa na homoni nyingi zaidi zinazosaidia uzalishwaji wa maziwa kuliko zile alizonazo mwanamme.

Kuanguka baada ya kushikwa na wanaume
JamiiForums imepokea madai haya na kufanyia kazi kwa kuzungumza na wataalam wa afya. Katika uchunguzi wetu, tumebaini mambo yafuatayo;
  1. Ukuaji wa matiti ya mwanamke huongozwa na mfumo wa taarifa za urithi (Genes) pamoja na mfumo wa vichocheo vya mwili (Homoni)
  2. Hakuna mfumo mmoja wa ukuaji wa matiti unaofanana kwa wasichana wote. Baadhi hukua mapema na baadhi huchelewa
  3. Kushikwa matiti na wanaume hakuwezi kusababisha kudondoka (kuanguka) kwa matiti, au hata kuongezeka ukubwa wake.
Ukiondoa Genes na Homoni, mambo mengine kama uzee, kani ya mvutano wa dunia (Gravity), uzito mkubwa, umri wa ukomo wa hedhi, kuzaa watoto wengi, kupoteza sana uzito wa mwili pamoja na uvutaji wa sigara husababisha kudondoka kwa matiti.

Pia, kwa mujibu wa Taasisi ya Nemours Teens Health, kuvaa au kutokuvaa sidiria hakuwezi kusababisha kukua, kudumaa au kudondoka (kuanguka) kwa matiti. Nadharia hizi ni uzushi usio na uhalisia kisayansi.
Kushikwa lazi
Kuna mwanamama aliwahi nipa ushuhuda kuwa matiti yake yalianza kuanguka akiwa na miaka 23 kutokana na mitomaso aliyokuwa anafanyiwa na mpenzi wake wa kwanza. Aliendelea kwa kusema kuwa, kabla ya kuanza michezo na wanaume alikuwa na chuchu do
Kuna mwanamama aliwahi nipa ushuhuda kuwa matiti yake yalianza kuanguka akiwa na miaka 23 kutokana na mitomaso aliyokuwa anafanyiwa na mpenzi wake wa kwanza. Aliendelea kwa kusema kuwa, kabla ya kuanza michezo na wanaume alikuwa na chuchu dodo zilizosimama na kuchoma.


Hivi ni kweli kuwa matiti ya mwanamke yanapopapaswa na viganja vya mwanaume hupelekea kuanguka na kuwa ndala?
Kushikwa lazima iwe sababu
 
Ukweli ni kwamba ,uzee, kani ya mvutano wa dunia (Gravity)-hapa matiti huvutwa chini na dunia, uzito mkubwa, umri wa ukomo wa hedhi-miaka 43 kuendelea, kuzaa watoto wengi, kupoteza sana uzito wa mwili [dieting-kama mange kimambi] pamoja na uvutaji wa sigara husababisha kudondoka kwa matiti, yaani kuwa na ndela[malapa] kitu ambacho waume zetu hawapendi kabisa kwakuwa wao wanataa kitu kinacho wachoma choma.
 
Ukweli ni kwamba ,uzee, kani ya mvutano wa dunia (Gravity)-hapa matiti huvutwa chini na dunia, uzito mkubwa, umri wa ukomo wa hedhi-miaka 43 kuendelea, kuzaa watoto wengi, kupoteza sana uzito wa mwili [dieting-kama mange kimambi] pamoja na uvutaji wa sigara husababisha kudondoka kwa matiti, yaani kuwa na ndela[malapa] kitu ambacho waume zetu hawapendi kabisa kwakuwa wao wanataa kitu kinacho wachoma choma.

Hapana mkuu hili suala ni genetics pia,mama watoto chuchu sa6,ila na mchepuko wa 2000s hajazaa ila mtindi umelala
 
inategemea na maumbile matiti kuwa ndala inaletwa na maumbile na sio kushikwa Mimi Mdogo wangu tumuite Mwasope yeye kawekewa ulinzi Kama wa JWTZ wenye A47K lakini titi zimelala je Nani kaziliza na yupo around 17 yrs tu
Yule dogo wa kazi ndo kaharibuuu
 
Mhhhh jamani swala la Matiti kulala ni fumbo sana.. maana....
Kunaa dini fulani huko nchi fulani wanawake wao wanaofanya kazi kwenye mahekalu HAWAOLEWI na huwa mabikra mpaka kufa, je -hao wanawake matiti yao yanasimamaga mpaka uzee?
 
Kuna wanaojiuza lakin chuchu bado imesimama kama kamaliza darasa la saba mwaka huu hao unawaweka kind gan kwenye utafit wako
Hakuna mwanamke anayejiuza akakubali kushikwa matiti na mteja. Huo ni Uongo!

Kumtomasa kwenyewe ni mwiko
 
inategemea na maumbile matiti kuwa ndala inaletwa na maumbile na sio kushikwa Mimi Mdogo wangu tumuite Mwasope yeye kawekewa ulinzi Kama wa JWTZ wenye A47K lakini titi zimelala je Nani kaziliza na yupo around 17 yrs tu
Mtakuwa ni ninyi ninyi wanaukoo mnazungukana humo humo ndani. Jaribu kuwafuatilia wale wanaojiita mabinamu kinyama cha hamu, au kama kuna mlinzi wa geti, jaribuni kumvutia rada. Au huenda binti anapiga punyeto
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom