Ngoja tujijuzee, then wakati watu wanoatoa hoja, tufanye unyambulisho yakinifu. Prof. Asante kwa kuiweka hapa, sasa ni kazi kwetu. Natoa wito wanajamii tuisome, tuipitie kipengele kwa kipengele, ili tujue tunavyoongozwa, na miiko ya uongozi, pamoja na haki zetu. Cha msingi siyo kuipinga, bali ni...