Recent content by Kihodombi Kingamba

  1. K

    Msaada kuhusu crdb mobile

    Msaada ikiwa kwa bahati mbaya discard ya mtandao mmoja niliacha nao, nikitaka kujisajili na mtandao mwingine inawezekana? Au kwa urahisi zaidi unaweza kujisajili kwenye simcard zaidi ya moja.
  2. K

    Kufikiria kwamba Uturuki watatoa mkopo nafuu wa Reli kuliko China ni kujidanganya

    Sina uhakika kama Serikali ya China iliahidi kutoa hela yote itakayogharamia ujenzi wa reli yote ya kati kutoka toka Dar mpaka Mwanza na kwingineko. Kama nilimuelewa vizuri, mheshimiwa Rais aliiomba serikali ya Uturuki kupitia benki yao ya Exim iikopeshe Serikali yetu kiasi cha fedha...
  3. K

    Vodacom kukubali kutoa ushahidi dhidi ya Lema ni dharau kubwa kwa watanzania

    Kataa wewe usiwahamasishe watu wengine. Mitandao yote huombwa na polisi kwa barua maalumu kutoa taarifa yoyote ya mteja yeyote wakati wowote, hawana uwezo wa kukataa. Majmbazi wengi wanakamatwa kwa ushirikiano mzuri uliopo na jeshi la polisi kwa kuwafuatilia mawasiliano yao. Sasa kama voda...
  4. K

    Tetesi: Serikali kujipatia Tender yenyewe....

    Mlizoea kuiibia serikali kwa kutoa estimate kufuru sasa ndio mwisho.
  5. K

    Miradi ya Ujenzi inayoendelea Chato inahitaji mjadala wa kitaifa

    Serikali iliyomakini huanzisha project zitakazodumu kwa kipindi cha miaka mingi ijayo, haina maana kujenga jengo kwa kufikiria uwezo uliopo wa kukusanya kodi, hapana tufikirie miaka ikibidi hata miamoja ijayo. Uwanja wa ndege wa Oliver Tambo wameujenga wakiwa na fikra kwamba hakutakuwa na foleni...
  6. K

    Zitto Kabwe kupeleka Bungeni hoja binafsi ya kutokuwa na Imani na Rais Magufuli

    Zitto Kabwe ni rahisi sana kununuliwa, upo uwezekano ameshapewa chake na wapiga dili ili kuichafua serikali yetu tukufu ili ionekane haifai mbele ya jamii. Zamani watu kama hawa walikuwa hawana nafasi katika jamii hivyo hatua za haraka zilikuwa zinachukuliwa kukabiliana naye.
  7. K

    Hii nchi ya CCM kuwa Waziri Mkuu ni kama mbeba kashfa tuu

    Mbona motto wa mkulima alitia nia ya kugombea urais bahati mbaya jina lake likakatwa kama ilivyo kwa el. Si kwamba ukwa waziri mkuu lazima uupate urais lazima upite kwenye mchujo.
  8. K

    Kesi namba 458 inayomkabili Mkurugenzi wa Jamii Media, Maxence Melo yaahirishwa kwa kukosa ushahidi

    Kuahirisha kwasababu upelelezi haujakamilika haina uhusiano na kwamba kesi haina ushahidi. Kumbuka kuwa kesi hii inaugumu Fulani ktk upelelezi wake, tuvute subira.
  9. K

    Picha nne ambazo ningependa Mh. Rais azione!

    Waziri mkuu aliyepita aliwahi kutembelea Wilaya moja huko kusini, bahati mbaya waliondaa eneo la kufwahutubia wananchi lilikuwa limezungukwa na manyasi marefu kumzidi kimo cha mheshimiwa waziri mkuu. Baada ya kuzungumza na wananchi, alikaribisha maswali na malalamiko yoyote kama yapo kutoka kwa...
  10. K

    Ni heri ya Lowassa!

    Kitendo cha Luwasa kudharau juhudi za serikali iliyopo madarakani ati kwanini inunue ndege kwa gharama kubwa wakati wananchi wa Tabora hawana maji, nadhani amekosa uwezo wa kufikiri. Utalii ndio unaoongoza kutuingizia fedha za kigeni, na wengi wao wanapitia Nairobi ndio waje kwetu wakiwa hoi...
  11. K

    Barua fupi kwa ndugu Maxence Melo huko katika kuta za magereza (sehemu 1)

    Ukiisoma hati ya mashitaka utaona kuwa huyu bwana alikataa hata kushirikiana na polisi, tafusiri yake anadharau kwa vyombo vya dola. Sasa kama alikuwa hajui kuwa ipo serikali basi ni wakati wake kulijua hilo, ni nini hasa alikuwa anakificha m[paka akawa anawadindia polisi wasitekeleze majukumu...
  12. K

    Dk. Mwele Ntuli Malecela kuachishwa kazi.

    Tayari taarifa yake ya uwepo wa zika Tanzania imeanza kuathiri biashara ya utalii. Serikali zenye kuwapenda wananchi wao zimetoa taadhari kubwa kuitembelea Tanzania ikiwemo Zanzibar. Nahisi huyu Dr. Malacela katumwa ili kuiharibia nchi yetu katika maswala ya biashara na mambo mengine mengi...
  13. K

    Dua mbaya na laana zinazoelekezwa kwa Mh Rais, zitamuacha salama?

    Watanzania tulizoea kufanya mambo bila kufuata sheria sasa umefika wakati tufuate sheria kwa kila jambo. Ukianzisha biashara fuata sharia, ukitaka kujenga zingatia sheria, ukitaka kuoa zingatia sharia n.k.
  14. K

    Habibu Mchange: Nitagombea uenyekiti CHADEMA

    Hawezi kuuachia uwenyekiti maana alipewa na mkwe wake ambaye ndiye mwenye chama.
  15. K

    Rais Magufuli afanya mazungumzo na Bilionea Dangote

    Sasa upinzani kwisha kabisa hakuna dili tena. Wapi watapata nyingine dili ya kuzungumza angalau wapate kiki. Jamaa analeta malori 600 kusomba makaa ya mawe na usambazaji wa saruji. Tunasubiri tena tudanganywe.
Back
Top Bottom