Chief wa kibena
JF-Expert Member
- Mar 13, 2016
- 686
- 394
hayupo kazn ila mshahara anaendelea kuula tu.... hapo ndo maajabu...Nyie Ongeeni Tu Lakn Ukwel Ni Kwamba Hayupo Kazini Si Tunapiga Domo.
Kila Miajia Hushika Kichwa Chake
hayupo kazn ila mshahara anaendelea kuula tu.... hapo ndo maajabu...Nyie Ongeeni Tu Lakn Ukwel Ni Kwamba Hayupo Kazini Si Tunapiga Domo.
Kila Miajia Hushika Kichwa Chake
Ulitaka ukweli ufichwe au? ? sijakuelewaTayari taarifa yake ya uwepo wa zika Tanzania imeanza kuathiri biashara ya utalii. Serikali zenye kuwapenda wananchi wao zimetoa taadhari kubwa kuitembelea Tanzania ikiwemo Zanzibar. Nahisi huyu Dr. Malacela katumwa ili kuiharibia nchi yetu katika maswala ya biashara na mambo mengine mengi. Huyu hatofautiani na mhujumu uchumi, isiishie kuachishwa kazi tu kunahaja sheria ichukue mkondo wake ili liwe fundisho kwa wle ambao wanatabia ya kulihujumu Taifa letu. Mheshimiwa Rais anakazi kubwa sana maana maadui wapo kila kona.
Mi naona kinachotia shaka ni kufuatwa kwa utaratibu wa kutoa matamko/matangazo kutoka kwa taasisi za umma kwenda kwa umma, hususan kwny suala sensitive kama hilo la afya ya rasilimali watu ya Taifa…Tatizo ni kuwa website ya WHO inaonyesha Tanzania kuna zika lakini serikali yetu bado haijazungumza chochote! Hivyo watu hawawezi kuchukua tahadhari inayostahili hasa kwa waja wazito! Suali LA kujiuliza ni kuwa : Kwa nini serikali inakaa kimya? Ukimya huu hauna tija kwa sababu unayaacha maisha ya watanzania kwenye rehani! Sasa naona Mwele akaamua kujitosa akiwa na nia ya kunusuru maisha ya watanzania!
Kukaa kimya kusingeweza kusaidia maana watalii toka ulaya na marekani tayari wana taarifa za uwepo wa zika Tanzania kupitia website ya WHO! Kukaa kimya sana sana kulikuwa kunahatarisha maisha ya watanzania! Hiyo ni kwa mujibu wa m
● of a disease or condition,unajua maana ya endemic?
Huna hoja na ujanielewa bado, usijibu kwa kufuata mkumbo.Sasa Kama Hudhani Mbona Unahukumu Kwamba Ugonjwa Huo Upo.?
Siku nyingine usirudie kuni-quote ujinga wa namna hii.Hao Kina Nani?.
Tofautisha Kati Ya Taasisi Na Mtu Aloajiriwa Na Serikali.
hiyo shWell said, Dr. Mwele hakufuata utaratibu.View attachment 447271
Acha makalio yafanye kazi yake usiyatumie kufikiri, ugonjwa upo mnaogopa nn kutangaza mnataka tufe kama kukuWewe Ulisikia Wapi kuwa Tanzania kuna wagonjwa wa ZIKA?
Yaan ugonjwa uwepo lakini wagonjwa wasiwepo? wewe hao NIMR wamekuonesha hao wagonjwa wa ZIKA wa hapa Tanzania?
Yaan NIMR iwagundue wagonjwa wa ZIKA lakini Hospitali za wilaya na mikoa wasiwagundue hata bila vipimo...! au Unadhani hao watoto wote waliofanyiwa utafiti na NIMR walizaliwa Majumbani hadi madaktari wa wilayani na mikoani wasiwagundue?
Wewe unajua jinsi Wizara ya Afya inavyopokea report za Afya kutoka wilayani na mikoani kila mwezi? Yaan waganga wakuu wa mikoa na wilaya wasigundue hilo tatizo?
Mbona Zanzibar kuna MBU anayeambukiza ZIKA lakini hakuna ZIKA Zanzibar?
Lazima Huyu Dr. mwele atueleze tujue nia yake hasa ilikuwa ni nini hadi kuropoka ropoka tu kwenye media bila kuangalia impact yake kwa nchi.
Ahsante babylata, lakini tukijaribu kufikiria nje ya box ilikuwa sahihi yeye kutangaza ugonjwa mkubwa kama ZIKA bila kuwasiliana na Wizara/Waziri wa Afya?hiyo sh
eria inawahusu waganga wa mikoa na wilaya lakini sio taasisi amabyo kazi yake ni kutafiti kupasha umma na serikali kwa hiyo tusichanganye sharia hiyo inavyosema sharia iliyoounda NIMR mbona hamuileti
Ilikuwa ni utafiti ambao ni wa awali na walikuwa wanamesema kabisa kwamba watafanya mwingine wakuhakiki sasa kitu gani cha zika ambacho ni kipya wakati tayari tulishawekwa kwenye alama ya kidunia kwamba tuna zika lakini sio threatening wakati mwingine kunyanysa wataalamu kwa mambo ya kisiasa ni ujinga uliopitilizaAhsante babylata, lakini tukijaribu kufikiria nje ya box ilikuwa sahihi yeye kutangaza ugonjwa mkubwa kama ZIKA bila kuwasiliana na Wizara/Waziri wa Afya?