Habibu Mchange: Nitagombea uenyekiti CHADEMA

Habibu Mchange: Nitagombea uenyekiti CHADEMA

Atagombeaje CHADEMA wakati yeye ni ACT?
 
Akihojiwa na mwandishi redio Saut sasa anasema atagombea uenyekiti wa chama cha chadema na anasema atamshinda F.Mbowe.anasema chadema inahitaji mtu kama zzk ama yeye.

Anadema Mbowe hajawahi kushinda uchaguzi ndani ya chadema.

My take:Mchange ni small entity kuivuruga chadema.
Mwenyekiti wa ACT Mchange, how are you?
 
Mwenyekiti wa ACT Mchange, how are you?
Waliokuwa wanamtuma wameingia mitini na hawana hamu naye tena. Aliyoyafanya hasa baada ya kwenda Star TV yame back fire na sasa anaonekana ni kikaragosi tuu. Na sii yeye tuu mpaka wale waliomlea na kumkuza hadi kuwa kubwa jinga. Imeandikwa "mtoto mpu.mbavu ni fedheha ya mamaye"
 
Waliokuwa wanamtuma wameingia mitini na hawana hamu naye tena. Aliyoyafanya hasa baada ya kwenda Star TV yame back fire na sasa anaonekana ni kikaragosi tuu. Na sii yeye tuu mpaka wale waliomlea na kumkuza hadi kuwa kubwa jinga. Imeandikwa "mtoto mpu.mbavu ni fedheha ya mamaye"

Njaa imeteketeza ndoto ya vijana kisiasa.
 
Mchange ni chizi apelekwe mirembe amedata huyu dogo huyu agombanie hata mwenyekiti wa kata ni hewa hapati huyu muasi wamemdanganya zzk wa watu wamempoteza katika medani ya kisiasa maskini wapambe ni hatari sana majuto mkuu juzi zzk alisema kwenye mwananchi wapambe kina mchange. Wameni gombanisha na mbowe unakumbuka blangeti wakati kumekucha majuto mjukuu
 
Akihojiwa na mwandishi redio Saut sasa anasema atagombea uenyekiti wa chama cha chadema na anasema atamshinda F.Mbowe.anasema chadema inahitaji mtu kama zzk ama yeye.

Anadema Mbowe hajawahi kushinda uchaguzi ndani ya chadema.

My take:Mchange ni small entity kuivuruga chadema.
Ha! Ha! Ha! Haaaa !!!
 
Huyo Mchange na wenzake hawawezi kuikwaza CHADEMA kwa mbinu dhaifu kiasi hiki. By the way; CHADEMA ni chama makini.
 
Back
Top Bottom