Dua mbaya na laana zinazoelekezwa kwa Mh Rais, zitamuacha salama?

Watanzania tuna shida sana, mara nyingi tunajitahidi kuukwepa ukweli. Mtu akitekeleza sheria mnaaza kusema eti uonevu au matumizi ya dola. Sheria zipo wazi lakini mnajitahidi kuzikwepa na hamtaki kuzifuata. Hata Mungu katuagiza kutii mamlaka zilizo juu yetu. Sasa utasemaje unatii mamlaka huku hufuati sheria za mamlaka husika? Halafu hizi sheria si zimetungwa na bunge, kama zinatukandamiza kwa nini tumpelekee lawama mkuu wa nchi wakati yeye anatekeleza sheria zilizowekwa na bunge? Je mlitaka asisimamie sheria? Binafsi naamini hakuna laana yoyote itakayompata kwa sababu anasimamia sheria, bali laana itatupata sisi tunaolitumia vibaya jina la Mungu kuweza kumlaani yule anayesimamia sheria ambazo Mungu mwenyewe katuagiza tuzitii.

Biblia takatifu katika kitabu cha Warumi 13:1-5
"Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu. 3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. 4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri."

Wewe unayesema anasimamia sheria ipi?
Ipi sheria inayompa Raisi wa jamuhuri mamlaka ya kuzuia mikutano ya siasa?
 
Kuna vilio kila mahali na dua mbaya kuelekea kwa rais Magufuli na serikali yake hali ambayo sasa inaogopesha! Kila ukifungua mtandao wa kijamii utakutana na malalamiko, dua na laana zikuelekezwa kwa Magufuli na serikali yake.

Hata wale waliokua wanamuunga mkono sasa wamemgeuka na kushangaa anayofanya.

Wengi wanamlaumu kwa uonevu na kutumia dola vibaya kukandamiza haki za raia.

Kumkosoa rais na serikali yake sssa kunaonekana ni kumtusi na uchochezi.

Kwa sasa watu wapo katika hofu kubwa. Hujui ni wakati gani ukikosoa au kutoa maoni yako juu ya utawala huu utaitwa
mchochezi au umemtusi rais.

Kwa mfano nikisema namchukia rais Magufuli nitaambiwa nimetoa lugha ya uchochezi. Yaani sio maoni yangu binafsi bali etu ni uchochezi.

Serikali hii ina hofu kubwa. Sijui ni kwa nini? Labda wamegundua kwamba waliyoahidi wananchi ni vigumu kutekelezeka hivyo wanazuia wakosoaji wasiseme? Hofu kuu iliyonayo serikali hii dhidi ya wakosoaji wake inafanya wajikute wanajihami hata kwa mambo madogomadogo yasiyokuwa na msingi! Mambo ambayo yanafanya kila mwenye akili timamu ashangae! Kuna nini?

Hii model ya utawala anayoijaribu Magufuli hapa nchini haitafanikiwa. Tanzania sio Rwanda wala North Korea. Tanzania kwa miaka mingi tumezoea uhuru wa kukosoana na kupingana bila kupigana.

Sasa naona huu utamaduni mzuri unaminywa. Nimekuwa najiuliza hivi kile kikosi kazi alichounda Mh Magufuli wakati wa kampeni kumshauri namna ya kufanya mabadiliko makubwa katika nchi ndiyo haya wsliyomshauri?

Hivi ni kweli tutasonga mbele kimaendeleo huku kukiwa nacauti nyingi namna hii zikiulaumu utawala wa nchi hii. Natumia neno 'utawala' kwa makusudi kwa sababu hii awamu ya tano inatawala badala ya kuongoza! Yaani nchi inaendeshwa kikoloni zaidi.

Nimalizie kwa kuulizs tena swali, je, ni kweli rais ataweza kufanikiwa kutekeleza mipango yake ya maendeleo huku akipingwa na kulaaniwa vikali hivi na wananchi wake? Rais aliyejipambanua kama mcha Mungu, akionekana kwenye nyumba za ibada kila siku, leo analaaniwa na kuombewa dua mbaya hivi?

Ni wakati muafaka kwa rais na serikali yake kujitafakari upya namna ya kuileta nchi pamoja na kuattract zaidi support kutoka kwa wananchi badala ya kufanya mambo yanayochochea chuki dhidi ya serikali na kuwagawa watanzania!

Hii mambo ya kuminya uhuru wa maoni na taarifa hayajawahi kusaidia nchi yoyote kusonga mbele. Demokrasia na maendeleo ni vitu pacha. Vinakwenda pamoja. Demokrasia huleta maendeleo na maendeleo huleta demokrasia! Maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu sio maendeleo ya vitu. Na bila uhuru na demokrasia hakuna maendeleo ya watu!

Mwenye masikio na asikie!
Hii ishu iko hivi, wanaomchukia na kumuombea mabaya wanajionyesha ktk media ila wanaompenda na kumuunga mkono hawajioneshi ila ndo wako wengi zaidi.
 
Mimi nadhani hofu ya Maghufuli, CCM na serikali yake ni kwa jinsi gani wananchi na wapiga kura walivyowahasi mwaka jana na kufikia kugawa kura almost nusu kwa nusu . Wanafikiri kwa kunyamazisha watu !!, basi watarudi kundini wapende wasipende.

Mimi pia nasema kokote duniani hakuna taifa lililofanikiwa kupitia mkono wa chuma na ukandamizaji. Niwashauri ndani ya chama na serikali yake kumshauri vizuri mkuu
mwaka mmoja tangu uchaguzi pamoja na figisufigisu kidnap dhidi ya wapinzani wamegundua kwba hamna lkilichobadilika wanajua hata uchaguzi ukiitishwa Leo hawataambulia kitu. hii inawatia hofu kuu ya kupoteza huko mbele. ndo maana wamepanic. hawajui adui anashambulia toka upande UPI wanaona wanadhoofika kila Siku wakati wanayemdhania adui yuko kimya
 
Wewe unayesema anasimamia sheria ipi?
Ipi sheria inayompa Raisi wa jamuhuri mamlaka ya kuzuia mikutano ya siasa?
Kama mvivu wa kufanya utafiti kabla kuandika utazijuaje sheria. Mnalalamika tu huku hamfanyi tafiti. Suala ni kwamba sheria inampa mamlaka hayo.
 
CzzBj2AWQAA0hx0.jpg
 
Kama mvivu wa kufanya utafiti kabla kuandika utazijuaje sheria. Mnalalamika tu huku hamfanyi tafiti. Suala ni kwamba sheria inampa mamlaka hayo.

Waweza kuwa sahihi, nikifungu kipi ili nikadhibitishe
 
Kumuombea mtu mabaya uku akiwa na nia nzuri ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu ata kama anakosea haifai Kumuombea mabaya omba ili abadilike na Mungu atakujibu maombi yako kama una nia njema
 
Kama Shein na kukataliwa alipita kwa kishindo cha 98 percent unataka kushindanisha nini kwa tume ya wakurugenzi wa halmashauri za miji na wilaya???!!!

Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app

Uchaguzi wa Zanzibar ulitoa taswira halisi ya chaguzi zetu
Huwa nasema mara kwa mara tu dili kwanza na katiba otherwise hata mim naweza kuwa Rais kama tu chama kikinipitisha
 
Kuna vilio kila mahali na dua mbaya kuelekea kwa rais Magufuli na serikali yake hali ambayo sasa inaogopesha! Kila ukifungua mtandao wa kijamii utakutana na malalamiko, dua na laana zikuelekezwa kwa Magufuli na serikali yake.

Hata wale waliokua wanamuunga mkono sasa wamemgeuka na kushangaa anayofanya.

Wengi wanamlaumu kwa uonevu na kutumia dola vibaya kukandamiza haki za raia.

Kumkosoa rais na serikali yake sssa kunaonekana ni kumtusi na uchochezi.

Kwa sasa watu wapo katika hofu kubwa. Hujui ni wakati gani ukikosoa au kutoa maoni yako juu ya utawala huu utaitwa
mchochezi au umemtusi rais.

Kwa mfano nikisema namchukia rais Magufuli nitaambiwa nimetoa lugha ya uchochezi. Yaani sio maoni yangu binafsi bali etu ni uchochezi.

Serikali hii ina hofu kubwa. Sijui ni kwa nini? Labda wamegundua kwamba waliyoahidi wananchi ni vigumu kutekelezeka hivyo wanazuia wakosoaji wasiseme? Hofu kuu iliyonayo serikali hii dhidi ya wakosoaji wake inafanya wajikute wanajihami hata kwa mambo madogomadogo yasiyokuwa na msingi! Mambo ambayo yanafanya kila mwenye akili timamu ashangae! Kuna nini?

Hii model ya utawala anayoijaribu Magufuli hapa nchini haitafanikiwa. Tanzania sio Rwanda wala North Korea. Tanzania kwa miaka mingi tumezoea uhuru wa kukosoana na kupingana bila kupigana.

Sasa naona huu utamaduni mzuri unaminywa. Nimekuwa najiuliza hivi kile kikosi kazi alichounda Mh Magufuli wakati wa kampeni kumshauri namna ya kufanya mabadiliko makubwa katika nchi ndiyo haya wsliyomshauri?

Hivi ni kweli tutasonga mbele kimaendeleo huku kukiwa nacauti nyingi namna hii zikiulaumu utawala wa nchi hii. Natumia neno 'utawala' kwa makusudi kwa sababu hii awamu ya tano inatawala badala ya kuongoza! Yaani nchi inaendeshwa kikoloni zaidi.

Nimalizie kwa kuulizs tena swali, je, ni kweli rais ataweza kufanikiwa kutekeleza mipango yake ya maendeleo huku akipingwa na kulaaniwa vikali hivi na wananchi wake? Rais aliyejipambanua kama mcha Mungu, akionekana kwenye nyumba za ibada kila siku, leo analaaniwa na kuombewa dua mbaya hivi?

Ni wakati muafaka kwa rais na serikali yake kujitafakari upya namna ya kuileta nchi pamoja na kuattract zaidi support kutoka kwa wananchi badala ya kufanya mambo yanayochochea chuki dhidi ya serikali na kuwagawa watanzania!

Hii mambo ya kuminya uhuru wa maoni na taarifa hayajawahi kusaidia nchi yoyote kusonga mbele. Demokrasia na maendeleo ni vitu pacha. Vinakwenda pamoja. Demokrasia huleta maendeleo na maendeleo huleta demokrasia! Maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu sio maendeleo ya vitu. Na bila uhuru na demokrasia hakuna maendeleo ya watu!

Mwenye masikio na asikie!
Walimu tu wa sanaa bila shaka hawamuombei tena....
 
UKAWA tangu lini mlimuombea dua nzuri JPM.? Acheni uongo, UKAWA siku zote mmekuwa mkimuombea mabaya JPM na CCM kwa ujumla.

Sasa hivi wameongezeka na mafisadi waliotumbuliwa, ndio kila siku tunaona mnavyolialia, na bado JPM mpaka 2025 panapo uhai, lazima mnyooke.

Sisi wengine kila siku tunamuombea DUA NJEMA MAGUFULI WETU.

MAGUFULI WANYOOSHEEEEEE.!
 
Narudia tena sentence hii mnao muombea mabaya Rais wetu hamzidi elfu 50 kwenye million 50,
Na 2020 kwa kishindo cha ajabu na anayepinga tuweke dau mbele ya mashaidi.

Mimi naweka kibanda changu Mbweni na ajitokeze nyumbu hapa.
Hana mvuto hata kwenye TV sasa........
Kuna vilio kila mahali na dua mbaya kuelekea kwa rais Magufuli na serikali yake hali ambayo sasa inaogopesha! Kila ukifungua mtandao wa kijamii utakutana na malalamiko, dua na laana zikuelekezwa kwa Magufuli na serikali yake.

Hata wale waliokua wanamuunga mkono sasa wamemgeuka na kushangaa anayofanya.

Wengi wanamlaumu kwa uonevu na kutumia dola vibaya kukandamiza haki za raia.

Kumkosoa rais na serikali yake sssa kunaonekana ni kumtusi na uchochezi.

Kwa sasa watu wapo katika hofu kubwa. Hujui ni wakati gani ukikosoa au kutoa maoni yako juu ya utawala huu utaitwa
mchochezi au umemtusi rais.

Kwa mfano nikisema namchukia rais Magufuli nitaambiwa nimetoa lugha ya uchochezi. Yaani sio maoni yangu binafsi bali etu ni uchochezi.

Serikali hii ina hofu kubwa. Sijui ni kwa nini? Labda wamegundua kwamba waliyoahidi wananchi ni vigumu kutekelezeka hivyo wanazuia wakosoaji wasiseme? Hofu kuu iliyonayo serikali hii dhidi ya wakosoaji wake inafanya wajikute wanajihami hata kwa mambo madogomadogo yasiyokuwa na msingi! Mambo ambayo yanafanya kila mwenye akili timamu ashangae! Kuna nini?

Hii model ya utawala anayoijaribu Magufuli hapa nchini haitafanikiwa. Tanzania sio Rwanda wala North Korea. Tanzania kwa miaka mingi tumezoea uhuru wa kukosoana na kupingana bila kupigana.

Sasa naona huu utamaduni mzuri unaminywa. Nimekuwa najiuliza hivi kile kikosi kazi alichounda Mh Magufuli wakati wa kampeni kumshauri namna ya kufanya mabadiliko makubwa katika nchi ndiyo haya wsliyomshauri?

Hivi ni kweli tutasonga mbele kimaendeleo huku kukiwa nacauti nyingi namna hii zikiulaumu utawala wa nchi hii. Natumia neno 'utawala' kwa makusudi kwa sababu hii awamu ya tano inatawala badala ya kuongoza! Yaani nchi inaendeshwa kikoloni zaidi.

Nimalizie kwa kuulizs tena swali, je, ni kweli rais ataweza kufanikiwa kutekeleza mipango yake ya maendeleo huku akipingwa na kulaaniwa vikali hivi na wananchi wake? Rais aliyejipambanua kama mcha Mungu, akionekana kwenye nyumba za ibada kila siku, leo analaaniwa na kuombewa dua mbaya hivi?

Ni wakati muafaka kwa rais na serikali yake kujitafakari upya namna ya kuileta nchi pamoja na kuattract zaidi support kutoka kwa wananchi badala ya kufanya mambo yanayochochea chuki dhidi ya serikali na kuwagawa watanzania!

Hii mambo ya kuminya uhuru wa maoni na taarifa hayajawahi kusaidia nchi yoyote kusonga mbele. Demokrasia na maendeleo ni vitu pacha. Vinakwenda pamoja. Demokrasia huleta maendeleo na maendeleo huleta demokrasia! Maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu sio maendeleo ya vitu. Na bila uhuru na demokrasia hakuna maendeleo ya watu!

Mwenye masikio na asikie!
 
Watanzania tuna shida sana, mara nyingi tunajitahidi kuukwepa ukweli. Mtu akitekeleza sheria mnaaza kusema eti uonevu au matumizi ya dola. Sheria zipo wazi lakini mnajitahidi kuzikwepa na hamtaki kuzifuata. Hata Mungu katuagiza kutii mamlaka zilizo juu yetu. Sasa utasemaje unatii mamlaka huku hufuati sheria za mamlaka husika? Halafu hizi sheria si zimetungwa na bunge, kama zinatukandamiza kwa nini tumpelekee lawama mkuu wa nchi wakati yeye anatekeleza sheria zilizowekwa na bunge? Je mlitaka asisimamie sheria? Binafsi naamini hakuna laana yoyote itakayompata kwa sababu anasimamia sheria, bali laana itatupata sisi tunaolitumia vibaya jina la Mungu kuweza kumlaani yule anayesimamia sheria ambazo Mungu mwenyewe katuagiza tuzitii.

Biblia takatifu katika kitabu cha Warumi 13:1-5
"Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu. 3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. 4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri."

Ata wakoloni walikua wanatutawala wakisema tutihii mamlaka zimewekwa na Mungu
 
Narudia tena sentence hii mnao muombea mabaya Rais wetu hamzidi elfu 50 kwenye million 50,
Na 2020 kwa kishindo cha ajabu na anayepinga tuweke dau mbele ya mashaidi.

Mimi naweka kibanda changu Mbweni na ajitokeze nyumbu hapa.
Bado hayajakukuta..isitoshe hakufahamu siku likikupata kama ya wengine utakuja na ngonjera nyingine..tuacheni mahaba ya uccm. Kikwete watu hawakuwa disappointed kwa kipindi cha mwaka mmoja..kikwete watu waliaanza kulalamika muhula wa Pili wa uongozi wake. Sasa magufuli ndani ya mwaka mmoja tu watu wanalalamika na kumchoka utafikiri katawala miaka kumi. Sijui akifikisha miaka minne itakuwaje!!!!?
 
Watanzania tulizoea kufanya mambo bila kufuata sheria sasa umefika wakati tufuate sheria kwa kila jambo. Ukianzisha biashara fuata sharia, ukitaka kujenga zingatia sheria, ukitaka kuoa zingatia sharia n.k.
 
Back
Top Bottom