Recent content by Kigundu

  1. K

    Wahitimu kidato cha nne 2004 MUYAMA SEKONDARI pita hapa

    Tukumbukane, tuwe wamoja, tupeane michongo. By Buke 0767840793
  2. K

    Pikipiki aina ya boxer na kinglion

    Km unajua bei ya pikipiki hizo kwa dar na mwanza nijuze tafadhali.
  3. K

    Mchawi aingia choo cha kike kwa Mlokole

    Haleluya, sifa na utukufu ni kwa bwana wetu yesu kristo aliye mwokozi na tumaini letu. Hakika kila amwaminiye yu na uzima wa milele. Tubu sasa na uokoke kutokana utumwani(kila mtenda dhambi ni mtumwa wa ibilisi)
  4. K

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hongereni kwa kuboresha huduma zenu, naombeni mwachunguzeni maafisa mikopo hasa branch ya kigoma na kasulu kwani ukitaka upate mkopo haraka lazima utoe rushwa, pili naomba mnijuze riba yenu ya mkopo kwa mwaka ni %ngapi, na hii bima ya mkopo ikoje?
  5. K

    Nchi hizi hazistahili kuitwa nchi 'zinazoendelea' bali ziitwe za 'wajinga'

    Baadhi ya nchi zinazoendelea hazisitahili kuitwa hivyo(zinazoendelea) kutokana na sifa hizi: zina madini karibia aina zote,ardhi yenye rutuba,bandari,mbuga za wanyama,milima,mito,maziwa,bahari,nk lkn bado huitwa maskini! KWA NINI ZISIITWE NCHI ZA WAJINGA?
  6. K

    Mikopo kwa walimu, NMB vs CRDB

    support ulichokiandika kwa kutofautisha figure za riba ya NMB na CRDB
  7. K

    Mkopo wa elimu

    Wadau naomba mnijuze. Je, bodi ya mikopo inakopesha anayejiunga chuo kwa sifa ya equivallent? Mfano mwenye diploma ya education kwenda bachelor degree ya ed.
  8. K

    Hatimaye nimeongeza miaka 50 ya kuishi duniani, asante Yesu

    Achana na imani potofu, ukiendekeza imani km hizo utakufa kabla ya wakati wako. Mpokee na umwamini BWANA YESU KRISTO nawe utaishi milele.
  9. K

    Huyu jamaa noma

    Kampeni zina vituko kweli, yaani kaamua apaki gari lake badala yake atembelee miguu na baiskel! Duh! sielewi lengo lake nn hasa, au hataki aombwe lift? Kwani wakati wa kampeni wagombea wote huuvaa wema na upole, nadhani ameuvua utajiri wake na kuuvaa umaskini kwa muda tu. TUWASAIDIE NA...
  10. K

    Wanamtandao wa Maombi Tanzania (WAMATA)

    Kweli, miili yetu hufa lkn roho huishi milele. Tuitumie(kwa kazi ya BWANA)miili ingali hai kwa faida ya roho zetu
  11. K

    Ni kiumbe gani hapa duniani huishi milele bila kufa?

    Kilicho roho hakifi bali kilicho mwili hufa, roho hubeba milango ya ufahamu yenye nguvu zaidi na kiwango cha juu cha utambuzi.
  12. K

    Wanamtandao wa Maombi Tanzania (WAMATA)

    Asante, ni kweli kila mmoja wetu anawajibika kwa hilo.
Back
Top Bottom