Haleluya, sifa na utukufu ni kwa bwana wetu yesu kristo aliye mwokozi na tumaini letu. Hakika kila amwaminiye yu na uzima wa milele. Tubu sasa na uokoke kutokana utumwani(kila mtenda dhambi ni mtumwa wa ibilisi)
Hongereni kwa kuboresha huduma zenu, naombeni mwachunguzeni maafisa mikopo hasa branch ya kigoma na kasulu kwani ukitaka upate mkopo haraka lazima utoe rushwa, pili naomba mnijuze riba yenu ya mkopo kwa mwaka ni %ngapi, na hii bima ya mkopo ikoje?
Baadhi ya nchi zinazoendelea hazisitahili kuitwa hivyo(zinazoendelea) kutokana na sifa hizi: zina madini karibia aina zote,ardhi yenye rutuba,bandari,mbuga za wanyama,milima,mito,maziwa,bahari,nk lkn bado huitwa maskini! KWA NINI ZISIITWE NCHI ZA WAJINGA?
Wadau naomba mnijuze. Je, bodi ya mikopo inakopesha anayejiunga chuo kwa sifa ya equivallent? Mfano mwenye diploma ya education kwenda bachelor degree ya ed.
Kampeni zina vituko kweli, yaani kaamua apaki gari lake badala yake atembelee miguu na baiskel! Duh! sielewi lengo lake nn hasa, au hataki aombwe lift? Kwani wakati wa kampeni wagombea wote huuvaa wema na upole, nadhani ameuvua utajiri wake na kuuvaa umaskini kwa muda tu. TUWASAIDIE NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.