Hawa Jamaa ccm kwa wale wapinzani so wazalendo wanahasira kwa kuwa ikulu ilikuwa hatarini kuchukuliwa na cdm
Na lissu hawampendi kwa kuwa anawamudu kweli kweli hakuna wa kumjibu lieu ccm nzima
Kuna mmalysia alikaa hapo kwenu tangu January mpaka February alikuwa anafanya nini mwisho akaenda Dubai na Beijing akapotea kwenye rada
Ubepari si mchezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.