China yatangaza vita na nchi za Magharibi

Hahaha haya mambo ya kutambulika nayo sometimes ni ujinga tu, Somalia ipo, wasomali wapo, sasa kwanini wahitaji kutambuliwa?! Na ninani awatambue.
Sisi Africa tunatambua kuna taifa la Somalia, na hakuna taifa linasogelea himaya yao licha yakujidai hawawatambui.
Mipaka yao iko salama kabisa, tia mguu ukatwe.
Mkuu ulivojibu nimegundua huna uelewa na nchi ya Somaliland na unachanganya na Somalia...



Kifupi Somalia imegawanyika katika state tatu Somalia ,puntland na Somaliland....hizi nchi mbili puntland na Somaliland zilijitangazia uhuru wake kutoma main Somalia baada ya migogoro na Vita vya miaka mingi
So Zina miji mikuu yake ,serikali yake na jeshi lake ingawa bado hazijatambulika na UN
images%20-%202020-07-03T015405.489.jpg
 
Mkuu ulivojibu nimegundua huna uelewa na nchi ya Somaliland na unachanganya na Somalia...



Kifupi Somalia imegawanyika katika state tatu Somalia ,puntland na Somaliland....hizi nchi mbili puntland na Somaliland zilijitangazia uhuru wake kutoma main Somalia baada ya migogoro na Vita vya miaka mingi
So Zina miji mikuu yake ,serikali yake na jeshi lake ingawa bado hazijatambulika na UNView attachment 1503247
Yote hiyo Somalia tu.
 
Mkuu russia kufikia hapo, ilianzia mbali sana kupambana na marekani...tangu enzi za intelligencia yao KGB agencies, ambayo ilikua hatari zaidi dunian miaka 1954-1991... nadhan hawa ndo waliwezesha hadi kuibwa kwa information za zilizowawezesha kutengenezea silaha za nyuklia ambazo unazoziona RUSSIA leo

kgb kwaleo wangekua kama cia.. au zaidi ya hapo

NAFIKIRI CHINA NAO WANAJIPANGA AU WASHANAPROGRESS chini kwa chini...
China wamefika paref mpaka sass
 
Suala si kuzidiwa akili! Suala Mchina hana tamaduni ya kusogeza pua kwenye nchi za watu.

Hong Kong ilikuwa chini ya utawala wa China BC

Taiwan nayo ilikuwa chini ya utawala wa China.

China baada ya kupigwa vita alipokonywa maeneo yake! Kwa hiyo anayo haki ya kudai maeneo yake yarudi!

Isome historia ya China! Soma na vita zilizofanya Mchina kuporwa maeneno yake. Kisha utaelewa kwa nini US+Brits wanagusa Taiwan na Hong Kong lakini China yenyewe bara hawagusi.
Marekani ni mchokozi tu. China ni lazima isimamia maslahi yake kama Marekani inavyopigania maslahi yake sehemu mbalimbali duniani. Na China inasimamia uhuru wake kama nchi na haki yake ya kujitawala na kujiamulia mambo yake yenyewe. Marekani ikae mbali na affairs za wachina maana kwa sasa ni makaka wakubwa duniani na hawatakubali kamwe kuamuliwa mambo yao
 
Wakat wa uhuru wa hong kong uingereza na china zilikaa wakakubaliana kuirudisha hong kong kwa china kwa shariti la kutovuruga uhuru wake wa kidemocracia had miaka 50....

Lakin china ikaona kama mbali ikaanza kuingiza mifumo ya mainland hong kong ndo chanzo cha maandamano
Such a nice story and well articulated. Hongera sana mkuu
 
Miaka ya nyuma enzi za british era hong kong ilipokua chini ya china... British alikua akitrade na china kwa kunua chai...
Kwan enzi hizo china ndo ilitoa chai bora sana dunian
Baada ya miaka nenda rud mwingereza akaona hela inamuishia lakin bado anahitaji chai.. Kwa maana nyingine ye n mnunuaji tu hana anachokiuza kule
Wakaja na wazo la kuuza opioid/madawa ya kulevya.. Wakawa wanayapeleka china mainland mwanzo china wahakujua madhara ya madawa ya kulevya...

Kama tujuavyo madawa yanafanya addiction au utegemez... Yaan watu hawawez kuacha na kusababisha vwachina wengi kuwa mateja na wateja wa kudum wa madawa kitu kilichowaletea pesa nyingi waingereza ya kununulia chai... Baada ya uchina kuona athar ya madawa wakapga marufuku na kuwakamata waifanyabiashara ya dawa hapo ndpo vita kubwa ikazuka na mwimgereza....
Kuyajenga ili kuleta aman china ikawapa hong kong waingereza kama peace deal nao wajizalishie chai yao


Wakat wa uhuru wa hong kong uingereza na china zilikaa wakakubaliana kuirudisha hong kong kwa china kwa shariti la kutovuruga uhuru wake wa kidemocracia had miaka 50....

Lakin china ikaona kama mbali ikaanza kuingiza mifumo ya mainland hong kong ndo chanzo cha maandamano
Umefafanua vema sana. Ambaye hata kuelewa atakuwa ni X wako labda....
 
Saga la Hong Kong lingekuwa Middle East au Afrika ni muda sana washawekewa vikwazo, matamko kibao, Majenerali washajitangaza watawala!.
Tatizo linafanyikia China hakuna namna inabidi watu wawe wapole, wakikumbuka ya Tiananmen Square Massacre!.
mkuu naomba ABC ya kuhus Tianamen massacre, ndo kwa mara ya kwanza nimeliona hilo neno Tianamen kutoka kwenye uandishi wako. Tafadhari sana naomba nisaidie kufahamu hilo tukio.
 
Marekani ni mchokozi tu. China ni lazima isimamia maslahi yake kama Marekani inavyopigania maslahi yake sehemu mbalimbali duniani. Na China inasimamia uhuru wake kama nchi na haki yake ya kujitawala na kujiamulia mambo yake yenyewe. Marekani ikae mbali na affairs za wachina maana kwa sasa ni makaka wakubwa duniani na hawatakubali kamwe kuamuliwa mambo yao
Ukweli Mchungu.....
 
Hivi nyie mpo Dunia gani mpaka hamjui wala kusikia vikwazo vinavyowekwa kila uchwao kuhusu swala la Hongkong?
Tatizo sio kuwekwa MKUU nahisi tatizo ni athari zake hasi nandicho alokilenga jamaa hapo juu

Je hvyo vikwazo dhidi ya HONG KONG vimeleta athari gani kwa UCHINA !?...
 
Suala si kuzidiwa akili! Suala Mchina hana tamaduni ya kusogeza pua kwenye nchi za watu.

Hong Kong ilikuwa chini ya utawala wa China BC

Taiwan nayo ilikuwa chini ya utawala wa China.

China baada ya kupigwa vita alipokonywa maeneo yake! Kwa hiyo anayo haki ya kudai maeneo yake yarudi!

Isome historia ya China! Soma na vita zilizofanya Mchina kuporwa maeneno yake. Kisha utaelewa kwa nini US+Brits wanagusa Taiwan na Hong Kong lakini China yenyewe bara hawagusi.

Mkuu marekani huwa hawapambani direct na mtu mwenye nguvu wanamzunguka pembeni kwa kutumia marafiki wa huyo adui,refer back ukraine,Syria ,Iran n.k halafu wakikudhoofisha kwa kutumia marafiki ndo wanaanza na wewe
 
Mkuu marekani huwa hawapambani direct na mtu mwenye nguvu wanamzunguka pembeni kwa kutumia marafiki wa huyo adui,refer back ukraine,Syria ,Iran n.k halafu wakikudhoofisha kwa kutumia marafiki ndo wanaanza na wewe
Njia hio ama hizo sio kwataifa kubwa kama la UCHINA mzee taifa kama la UCHINA walipambana nalo kwa in-direct ways wakaona hawaliwezi wakatoa makucha sasa mara vikwazo mara haki za bina adamu mara HONG KONG mara CORONA mara mara mara nyingiiii

Kiufupi taifa la UCHINA lishakua nje yauwezo wa udhibiti wa US katika masuala Mengi ama Yote maana sasa wanapambana nae DIRECT hata hivyo UCHINA wanaonesha Kushinda vita hio.....
 
Ni baada ya kumwona trump ana mikwara mbuzi,lakini biden akishinda china wanaweza wakashusha vichwa kwanza kupima upepo,ila kwa huu uongozi wa trump washaona mikwara mingi na ni mwoga
Njia hio ama hizo sio kwataifa kubwa kama la UCHINA mzee taifa kama la UCHINA walipambana nalo kwa in-direct ways wakaona hawaliwezi wakatoa makucha sasa mara vikwazo mara haki za bina adamu mara HONG KONG mara CORONA mara mara mara nyingiiii

Kiufupi taifa la UCHINA lishakua nje yauwezo wa udhibiti wa US katika masuala Mengi ama Yote maana sasa wanapambana nae DIRECT hata hivyo UCHINA wanaonesha Kushinda vita hio.....
 
Kwa mini nao China wasiwachonganishe marekani.kukubali kuchonganishwa mana ake unazidiwa akili na mchonganishi.
Marekani nao kwa nini wawachonganishe? China kuchonganishwa na marekani sio kuwa usa wana akili nyingi, bali wanaona kuzidiwa na hivyo wanaogopa. Sasa kama usa wana akili nyingi kuliko china kwa nini waogope kuzidiwa?
Wewe ni mkali wa masumbwi kwa nini ung'ate? Wewe ni mkali wa soka unafungwa goli nyingi unaanza kucheza rough, mwisho unapigwa kadi unatoka nje.
 
Marekani nao kwa nini wawachonganishe? China kuchonganishwa na marekani sio kuwa usa wana akili nyingi, bali wanaona kuzidiwa na hivyo wanaogopa. Sasa kama usa wana akili nyingi kuliko china kwa nini waogope kuzidiwa?
Wewe ni mkali wa masumbwi kwa nini ung'ate? Wewe ni mkali wa soka unafungwa goli nyingi unaanza kucheza rough, mwisho unapigwa kadi unatoka nje.
Kilichopo n kua kunapokua na Vita ushindi anautoa yule aliepigwa kwa kukubali kushindwa....Kama hamna atakae kubali kushindwa Vita itaendelea yaan NGOMA INOGILE
 
Back
Top Bottom