Recent content by kigeleki

  1. kigeleki

    Sahara Communications mnatia aibu

    tatizo la transmiter za mtumba!!!
  2. kigeleki

    'Msaada: Wananchi Wenye HASIRA KALI", nitawapata wapi hawa watu?

    mkuu hao wako wengi tu!! tena siku hizi zinaitwa "MAHAKAMA JAMII" zinatoa hukumu shirikishi.Huna haja ya kutafuta wakili. Hi ni sawa na POLISI JAMII na ulinzi shirikishi!!
  3. kigeleki

    KONYAGI= The Spirit of the Nation...!!!!!!

    juzi tu imemuua mtu shinyanga
  4. kigeleki

    Mwaka mpya majanga...

    ah usilalamike sana, si unjua kuchapiwa ni siri ya ndani bhana!
  5. kigeleki

    Hivi jeshi la zimamoto limeundwa kikatiba?

    Wana JF naombeni mnisaidie hili jeshi la zimamoto limeundwa ki katiba au na wajanja tu wa mjini ili kujihalalishia kupiga mpunga?
  6. kigeleki

    Tanzania: Tatizo la ajira kwa vijana ni kubwa sana, lisifanyiwe masihara!

    mi naona litakwisha baada ya walioajiriwa wote watakapokufa !
  7. kigeleki

    Nini tafsiri ya ndoto hii ?

    hapo huna haja ya kuhitaji msaada , we jiulize umewahi kuota ndoto ngapi tangu uzaliwe na zilikua na uhaalisia % ngapi then chukua hatua..
Back
Top Bottom