Airtel wameniharibia siku, mhudumu wake kanitolea maneno ya kashfa

Airtel wameniharibia siku, mhudumu wake kanitolea maneno ya kashfa

Nashangaa!!! kwa jinsi ninavyofahamu ukinunua kifurushi cha Tshs 1999 unapewa:
1 Dakika 60 mitandao yote
2 SMS 700 mitandao yote
3 175MB
Hii ya Tsh 1000, kupewa Dakika 40 za kwenda mitandao yote, Sms 1000 na 300 MB, imeanza lini?!!

Tsh 999, kupewa Dakika 40 za kwenda mitandao yote, Sms 1000 na 300 MB ipo kitambo sana but hii ni ya siku. hiyo yako ni ya wiki.
 
Pole sana ndugu yangu jinsi Airtel walivyokufanyia,hata mimi kama wiki mbili hivi zimepita,niliweka salio la elfu mbili ili ninunue bando ya wiki,wakati nanunua bando,nikapata msg kuwa salio lako halitoshi,ha! Nikashoku,kwa nini wakati bando ya wiki.ni shilingi 1999 na mimi nimeweka 2000 !! Kuja kuangalia salio nikakuta salio ni.1750 tayari nimekatwa 350,nikasema potelea mbali haidhuru,nikaongeza 500 tena,kuja kununua bando nikapata msg tena kuwa salio halitoshi kujiunga,ha! Nikashoku tena,kulikoni! Nikakumbuka ahaa kuna kamchezo kale ka mabingwa,lakini mimi ckuwahi kujiunga na kamchezo hako,
Nikapiga cm huduma kwa wateza,nikampata dada mmoja,akaniuliza kama niliwahi kujiunga,nikamwambia hapana,akanipiga longolongo akaniacha kwenye mataa bila jibu,nikapiga tena,nikampata dada mwingine,naye hivyo hivyo,nikapiga tena,nikampata kaka mmoja,yeye ndio akaniambie ni kweli tulikuunganisha kwenye mchezo kwa makosa hivyo tutashughukia suala lako ndani ya masaa 24,kweli kesho yake nikaweka salio nikajiunga nokakuta wamenitoa, kwa hiyo AIRTEL waliniingiza kwenye mchezo kwa nguvu,na pesa walionikata walisema.watanirudishia,hawakurudisha hadi sasa,kweli hata mimi walinikera sana.

bora wewe mkuu, mi niliweka buku 3 ili nijiunge na bando la 2999, kujaribu kujiunga naambiwa salio langu Chenga, heeeh kumbe kile kitendo cha kuacha internet on kipindi naingiza vocha walilamba Tshs 30 fasta, kucheki salio 2970. hapo nikazima net nakuzama mfukoni ili niongeze kitu cha jero.
 
Pole sana ndugu yangu jinsi Airtel walivyokufanyia,hata mimi kama wiki mbili hivi zimepita,niliweka salio la elfu mbili ili ninunue bando ya wiki,wakati nanunua bando,nikapata msg kuwa salio lako halitoshi,ha! Nikashoku,kwa nini wakati bando ya wiki.ni shilingi 1999 na mimi nimeweka 2000 !! Kuja kuangalia salio nikakuta salio ni.1750 tayari nimekatwa 350,nikasema potelea mbali haidhuru,nikaongeza 500 tena,kuja kununua bando nikapata msg tena kuwa salio halitoshi kujiunga,ha! Nikashoku tena,kulikoni! Nikakumbuka ahaa kuna kamchezo kale ka mabingwa,lakini mimi ckuwahi kujiunga na kamchezo hako,
Nikapiga cm huduma kwa wateza,nikampata dada mmoja,akaniuliza kama niliwahi kujiunga,nikamwambia hapana,akanipiga longolongo akaniacha kwenye mataa bila jibu,nikapiga tena,nikampata dada mwingine,naye hivyo hivyo,nikapiga tena,nikampata kaka mmoja,yeye ndio akaniambie ni kweli tulikuunganisha kwenye mchezo kwa makosa hivyo tutashughukia suala lako ndani ya masaa 24,kweli kesho yake nikaweka salio nikajiunga nokakuta wamenitoa, kwa hiyo AIRTEL waliniingiza kwenye mchezo kwa nguvu,na pesa walionikata walisema.watanirudishia,hawakurudisha hadi sasa,kweli hata mimi walinikera sana.

Pole sana Mkuu tatizo hii mitandao ya simu ni wazembe sana alafu hata kama wakifanya wao makosa hakuna kulipa fidia.
 
Huyo dada aliyekujibu utumie akili acha ubishi alikuwa sahihi..
Inaonekana ulikuwa unaleta ubishi sana bila kuruhusu akueleweshe

Unadai umejiunga saa tano,Airtel sio kama mitandao mingine,hawatozi kwa masaa 24 toka ulipojiunga,wao kila siku ina mahesabu yake
Ukijiunga saa tano jua kabisa ikifika saa sita unaanza hesabu zingine,achilia mbali ile grace period unayopewa ya kumalizia dakika,data pamoja na data za bure hadi saa kumi
So elewa acha ubishi
Saa sita hiyo bundle yako ya saa tano ilikuwa imeshapoteza uhalali wa kutumika,ni grace period ndo imekupeleka hadi dakika 15..

Next time uache ubishi eeeh

Halafu hawawezi kukutukana au kukukashifu,kila simu inarekodiwa!
 
Huyo dada aliyekujibu utumie akili acha ubishi alikuwa sahihi..
Inaonekana ulikuwa unaleta ubishi sana bila kuruhusu akueleweshe

Unadai umejiunga saa tano,Airtel sio kama mitandao mingine,hawatozi kwa masaa 24 toka ulipojiunga,wao kila siku ina mahesabu yake
Ukijiunga saa tano jua kabisa ikifika saa sita unaanza hesabu zingine,achilia mbali ile grace period unayopewa ya kumalizia dakika,data pamoja na data za bure hadi saa kumi
So elewa acha ubishi
Saa sita hiyo bundle yako ya saa tano ilikuwa imeshapoteza uhalali wa kutumika,ni grace period ndo imekupeleka hadi dakika 15..

Next time uache ubishi eeeh

Halafu hawawezi kukutukana au kukukashifu,kila simu inarekodiwa!
Wewe ndo huna akili kabisa
 
Ndugu zanguni...

Ilikuwa jana usiku majira ya 5 ambapo niliamua kujiunga na kifurushi cha "Airtel yatosha" cha Tsh 1000, very soonly baada ya kujiunga nikapewa Dakika 40 za kwenda mitandao yote, Sms 1000 na 300 MB,
Usiku huo nilitumia dakika kama 15 lakin sms sikutumia hata moja, Cha ajabu leo nimeamka asubuhi nimekuta wamekata salio lote la dakika pamoja sms zimebaki 0 hali iliyonifanya niwapige huduma kwa wateja lakini nikaambulia porojo na ahadi zisizotekelezeka,

Jambo hili likanifanya nirudie tena kwa mara ya 4 kupiga tena simu lakini mmoja wa watoa huduma (binti) akawa hataki kunielewa tatizo langu na mwisho akaniambia NISIWE MBISHI NIWE NATUMIA AKILI na meaneno mengine ya ovyo kabisa.

My take: Hiv ninyi mitandao ya simu mpaka lini mtaendelea kutudharau na kutunyanyasa sisi wateja wenu? Kodi zetu mnaiba lakini pia hata hili jambo dogo liwashinde?

Ulilala na jini ww sio bure!! kwanza hakuna kifurushi cha 1000!! ungesema 999 labda!! inaonekana ww ni mgeni kwenye hili basi kubwa!!
 
Pole sana ndugu yangu jinsi Airtel walivyokufanyia,hata mimi kama wiki mbili hivi zimepita,niliweka salio la elfu mbili ili ninunue bando ya wiki,wakati nanunua bando,nikapata msg kuwa salio lako halitoshi,ha! Nikashoku,kwa nini wakati bando ya wiki.ni shilingi 1999 na mimi nimeweka 2000 !! Kuja kuangalia salio nikakuta salio ni.1750 tayari nimekatwa 350,nikasema potelea mbali haidhuru,nikaongeza 500 tena,kuja kununua bando nikapata msg tena kuwa salio halitoshi kujiunga,ha! Nikashoku tena,kulikoni! Nikakumbuka ahaa kuna kamchezo kale ka mabingwa,lakini mimi ckuwahi kujiunga na kamchezo hako,
Nikapiga cm huduma kwa wateza,nikampata dada mmoja,akaniuliza kama niliwahi kujiunga,nikamwambia hapana,akanipiga longolongo akaniacha kwenye mataa bila jibu,nikapiga tena,nikampata dada mwingine,naye hivyo hivyo,nikapiga tena,nikampata kaka mmoja,yeye ndio akaniambie ni kweli tulikuunganisha kwenye mchezo kwa makosa hivyo tutashughukia suala lako ndani ya masaa 24,kweli kesho yake nikaweka salio nikajiunga nokakuta wamenitoa, kwa hiyo AIRTEL waliniingiza kwenye mchezo kwa nguvu,na pesa walionikata walisema.watanirudishia,hawakurudisha hadi sasa,kweli hata mimi walinikera sana.

Kumbe ndo mchezo wao eee,hata mm nikiweka 2000/= huwa wananikata 350 na cjawah kujiunga na hiyo michezo yao,customer care yao ni very poor maana naweza kupiga simu muda mrefu hawapokei.Wanatuibia sana hawa
 
Wote ndio haohao. Hakuna mwenye nafuu. Huduma kwa wateja iko nchi zilizoendelea, sio Tanzania.
 
Nashangaa!!! kwa jinsi ninavyofahamu ukinunua kifurushi cha Tshs 1999 unapewa:
1 Dakika 60 mitandao yote
2 SMS 700 mitandao yote
3 175MB
Hii ya Tsh 1000, kupewa Dakika 40 za kwenda mitandao yote, Sms 1000 na 300 MB, imeanza lini?!!
Hiyo huduma ya sh 999 yenye dk40 mitandao yote sms 1000 na MB 300 mbona ipo tu siku nyingi halloo. Hata mie naitumia sana hiyo.
 
Mimi niliambiwa natumia simu ya mchina ndio maana sipati internet wakati nimenunua bundle ya elfu sita kwa wiki alafu siku mbili tu inasoma nina 2kb
 
nimejiunga ya buku kumi kitu cha mwezi cha kushangaza kila nikituma text haiendi kana 4days nikahisi cm labda inazingua

mmmh siku amini baada ya kupata wazo la kucheki balance na kukuta nina sms 0 da imeniuma mno ila nimekausha
 
Pole kwa kujibiwa vibaya.

Ila nahisi km hio huduma ilikua mwisho ni 6 ya usiku. Baada ya hapo zile ofa zinatoweka na inabidi kujiunga upya.

Sisi wa zantel mwisho ni saa 6 usiku. So km una sms na MB bora kuzimaliza kabisa mana ukiamka asubuh huna chako tn
 
pole mkuu huyo binti atakuwa ni hawa wa siku hizi much knows
 
Mimi huwa naona angalau Airtel wako vizuri in comparison na wengine, Voda ndiyo worse kabisa.
Nakushauri uendelee kubaki Airtel huko ni hovyo zaidi, unaweza ukarusha ngumi kwenye simu.

Kiukweli wenye nafuu kwa mtazamo wangu ni Tigo. Airtel na Voda ni mitandao ya kijambazi
 
Back
Top Bottom