Recent content by KIFARU

  1. KIFARU

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    psychic powers,zipo na kwa mtizamo wangu ukishazielewa ndio utafahamu vizuri uwepo wa Mungu,kwa sababu tumeumbwa kwa mfano wa Mungu,na Mungu alimwambia Adamu nenda katawale ulimwengu,ktk hali ya kawaida ukiwa kiongozi kuna access unapewa,na ndivyo ilivyo kwa mwanadamu akapewa supernatural powers...
  2. KIFARU

    Kwanini Unaogopa Kufa?

    Kitu cha muhimu cha kuogopa ni hofu yenyewe zaidi ya kifo,so inatakiwa ujue jinsi gani ya kupambana na hofu sio kifo
  3. KIFARU

    Intelijensia ya Tanzania imekwenda likizo au imekufa?!

    inamaanisha Usalama wa taifa wanazidiwa akili na wanasiasa,au kwa maana nyingine watu walioko kwenye idara hiyo ni vilaza(tiss) ambao wanawaongozwa na maitelejensia(wanasiasa)
  4. KIFARU

    Jinsi ya kuchakachua nipige tafu na tigo niwezeshe!!

    Mi navyofaham kukatwa utakatwa tu sema una extend muda wa deni lako,wengi tigo wananunua virush from tigorusha badala ya kurecharge direct to their airtime wallet
  5. KIFARU

    Swala la Watanzania kuto kuunganisha Mitaji yao ni sawa na Kujichimbia Kaburi la Biashara

    kiongozi umeongeajambo linalo make sense,ila kwanini usituandikie changamoto zake na jinsi ya kuzikabili?
  6. KIFARU

    Uhusiano wa Intelijensia na watu kama kina James Bond

    tiss yetu bado sana,ikiwa kama mtu ni intelejensia unagundua kitu hatarishi cha usalama wa taifa kisha unapeleka sehemu husika,file halifanyiwa kazi,mimi naona ni ukosefu wa akili na uzalendo,kama if this people are real intelegence wangeondea huo mfumo unaokwamisha kazi za akili yao,ila...
  7. KIFARU

    Kuacha club nasikia uchunguuuu

    kaka,hii picha balaaaa,kitumbua kama kchwa cha sharobaro mwenye dread ndogo,
  8. KIFARU

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Mkuu nimeipenda sana topic yako,imekaa vizuri ila kwa nyongeza zaidi ya jinsi ya kua tajiri,tungeanza msingi wa matayarisho kiakili,jinsi gani mabadiliko ya kimaisha yasiathiri shughuli zako,ila mi naamini utulivu wa akili ndio mwanzo wa safari ya utajiri,
  9. KIFARU

    Nimrod Mkono na Mkono Advocates watch

    duhh....................
  10. KIFARU

    Ulishawahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?

    unaelewa tofauti ya mke na hawara?
  11. KIFARU

    Ulishawahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?

    haya mambo ndio yanatufanya wengine tushindwe ingia kwenye ndoa, balaa tupu, hasa kwa sisi wenye utajiri wa wivu
  12. KIFARU

    21 qualities of self made millionaires je unazo?

    Nimeipenda, hata matajiri wengi wana qualities ulizotaja, ukiondoa hiyo moja ya 17, tell the truth
  13. KIFARU

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Mkuu wa kaya mwenyewe alisema anashangaa?, ila mafanikio ya nchi yanatokana na mafanikio ya mtu mmoja moja, namaanisha kila mtu akifanya bidii kujiinua kimaisha,kisha tukawa na wananchi waliojiinua kimaisha inamaanisha itakua nchi yenye mafanikio
  14. KIFARU

    Picha ya ombaomba aliyetaka kubusiwa na mwanamke salender bridge-MANYOA YA PAKA

    mbona hiyo picha kama ya mwanajamvi mwenzetu ngoshwe, au pacha wake?
Back
Top Bottom