Wadau ambao mna taarifa ama mna taarifa tuambieni vipi huko moshi kukoje maana hatafoleni hapa dar imepungua sana wachaga wameshapaa ! Toa taarifa ya maandalizi ya x mas kulingana na eneo ulilopo.
Ndugu zangu mnaokwenda mikoa ya kaskazini hasa wachaga tumieni barabara ya bagamoyo ni fupi haina foleni.Barabara haina mawimbi na wale wazee wa tochi hawapo achaneni na Chalinze jamani.
Ndugu wana Jf hivi kweli mamlaka zinazohusika hazioni ama zinaona zina kaa tu kimya ! Hebu fikiria unajenga nyumba unahamia unaishi baada ya muda mtu anajenga ukumbiwa sherehe ambao sio sound proof na makelele yote yanakuja kwako ! This is incompartible land use ! Pia ni noise pollution...
Kuna hizi barabara za pembezoni kama hii ya chuo baruti na chuo kimara mwisho. Korogwe segerea .mbezi goba zingefanyiwa ukarabati hata kupitisha tu greda jamani! Hawa wasimamizi wa huu mradi mbona wanatunyanyasa? Utashangaa uko kwenye foleni na waziri .katibu mkuu ama hata na mkurugenzi wa...
Ndugu zangu hawa dawasco kimara naona kama ofisi imewashinda maana hawaji kusoma bill wala bill hawaleti ila kuja kukata maji kwa vitisho wanakuja! Wanavizia tu wakati watu wapo makazini wanakuja kukata maji tena kwa vitisho ili mtu aogope awape kidogo ! Kwa taarifa yenu tuna ushahidi hadi wa...
Hawa mainjinia wetu waliosanifu na kusimamia hii barabara ya kimara feri nahisi uelewa wao ni mdogo sana maana hii barabara ni nyembamba huwezi overtake ! Makona kibao ! Nahisi ukikamilika ajali zitakua za nyingi sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.