Ajali daraja la Kawe/Mlalakuwa

Ajali daraja la Kawe/Mlalakuwa

huyu bwana bila shaka alikuwa kalewa na alikuwa anaendesha spidi ya 220 au zaidi sio bure
 
Too sad, kuna jamaa tulikuwa naye pale Uhuru Peak ni msimamizi pale. Nasikia naye amefariki. Walikuwa watano, wamefariki wanne.
 
Ni jana tulikuwa naye, na alikuwa anakunywa maji. Kama ni pombe itakuwa alianza usiku sana.
 
Walikuwa wanahama kijiwe cha kula bata.
 
Inasikitisha!
R. I. P waliopoteza maisha.
 
Jamani inakuaje unaweza kupiga picha zote hizo halafu unashindwa kueleza kilichotokea? Taarifa ni muhimu ikanyooka mkuu
 
  • Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?


Na wewe uko vile vile tu... sijui unamcheka nini mwenzio. Ni janga la kitaifa....
 
Kwa jinsi gari ilivyoharibika jamaa inaonekana alimaliza namba zote ktk dashboard.
 
Hivi tunakoelekea naona kiswahili kinakuwa kigumu kuliko kiingereza, maana naona makosa ya matamshi ya kiswahiki yanakuwa mengi sana. nadhani hii inatokana na shule za english medium ndio zimesababisha watu kutojua kiswahili fasaha. (ajali au ajari)?

Kiswahiki ndo nini. Usijifanye unakosoa mtu
 
mda mwngne tuwe srious ilamtu anapost kitu cha maana mnaanza kumkosoa kiswahili tena,fikilia ungekuwa ni ww umepata mzinga kama ule ungekuwa unaonge mbovu kama hivo????na ukizingatia wengi wetu tunaendesha magari ya mabox
 
Back
Top Bottom