Recent content by kidde I'm

  1. kidde I'm

    Boom kupandishwa kutoka sh.7500/= mpaka 9750/=

    Mmmm!!!....soma kijana hizo ni ndoto.
  2. kidde I'm

    CCM walaani vikali vurugu zilizotokea Mtwara .

    2015....hapatatosha....kazi ipo.....
  3. kidde I'm

    Juma Nature naye mbioni Kujiunga na CHADEMA

    Hahahahaaaaaa....acheni kijana akasaidiane na mh. sugu....
  4. kidde I'm

    Waziri Muhongo azomewa!

    Slaa kaingiaje tena hapo jamani.....vilaza bana utawajua tuu......!
  5. kidde I'm

    Uchafu wa Waziri Ghasia na dharau zake kwa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kifua cha JK

    Duuu kweli mkuu.....nimekubali uko juu kifasihi.....tupambane paka dk ya mwisho.
  6. kidde I'm

    Mke wa mshikaji wangu aniduwaza!

    Nakuelewa mkuu.......
  7. kidde I'm

    Mke wa mshikaji wangu aniduwaza!

    Tell him!!!!.....
  8. kidde I'm

    Mke wa mshikaji wangu aniduwaza!

    Kweli kaka!!!....
  9. kidde I'm

    Afisa Elimu kujiteua mfanyakazi bora

    hahahahahahaaaa,....!!!!! tena inapaswa akamatwe....paka jina lake lipatikane
  10. kidde I'm

    Ni Wimbo au Nyimbo?

    upo juu nimekuelewa ndugu!!!!!! wewe ni mwalimu, kuna kitu nimejifunza!!!!!!!!!!!
  11. kidde I'm

    Kiswahili kinaliangamiza taifa

    kweli kabisa kaka jidu(kama sijakosea) cha msingi ni kuwa na msimamo, haina maana kuwa kiingereza tukiache la hasha!! tujifunze kama lugha ya pili lakini si ifanye tupuuze lugha yetu!!! mfano tanzania ni nchi tajiri sana kwa madini,na mali asili nyigine, madini kama tanzanite huwezi yapata...
  12. kidde I'm

    Matumizi ya maneno "hayati" na "marehemu"

    maelezo ya juu ni sahihi ila ya mwisho si sahihi, kwani umejidunisha mtoto wa mbwa hawezi kuandika wala kutoa hoja!!! Wewe si mtoto wa mbwa!!!! Je ni sahihi?
  13. kidde I'm

    Kipi Choo?

    unafahamu maana ya neno tafsida? Kama hapana, tafuta kamusi ya kiswahili, utapata majibu mazuri humo!!!!! Kwa nini choo si kinyesi au mavi....!!
Back
Top Bottom