king Chuga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 510
- 52
Umoja wa Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) umelaani vikali vitendo vya vurugu vinavyotokea huko Mkoani Mtwara na kusema kuwa kamwe hata kama wananachi wa huko wanadai haki lakini haki haiweze kupatika kwa kuifanya vurugu.
Akizungumza na waandishia wa habari, katibu mkuu wa umoja huo Bw Khamis Dadi amesema ni vyema kila mtu akajua kuwa amani ya nchi ni muhimu hata kuliko hiyo gesi wanayoigombania na hivyo waweke mbele maslahi ya taifa.
Source: ITV
Akizungumza na waandishia wa habari, katibu mkuu wa umoja huo Bw Khamis Dadi amesema ni vyema kila mtu akajua kuwa amani ya nchi ni muhimu hata kuliko hiyo gesi wanayoigombania na hivyo waweke mbele maslahi ya taifa.
Source: ITV