Hizo ni siri za ndani wewe na dem/mke wako, kuleta jf ni kumdhalilisha hatakama hukumtaja.
We mwanaume bhnaa funguka kwa mwenza wako ni nini unapenda. Kama wewe hupendi sisi wengine ndo tunapenda.
Mi mwenyewe sipendi, mpira apende mchezaji mwenye manufaa nao sio wewe hata team haikujui kazi kukaa vijiweni kujadili mpira, tufanye kazi jamani tukumbuke wanaocheza mpira ndo kazi yao.
Kwahiyo kama Dunia inajadili nuclear ndo watu wapaki vibaya? Au ndo watu waibe? Halafu matumizi ya risasi yanamaana kutokana na jinsi yalivyotumika, so labda uweke wazi nani kapigwa risasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.