Kwanini Wanaume tusiopenda mpira "kabumbu" tunaonekana washamba?

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Nov 10, 2016
3,884
12,646
Jana nilikuwa maeneo ya burudani ikafika wasaa wa kurushwa mechi nikawaambia wenzangu Mimi ngoja niondoke kwa sababu sina interest na masuala ya mpira nikajibiwa "we mshamba tu mwanaume gani usiyependa mpira" hii kauli si Mara ya kwanza kuisikia Mara nyingi naisikia kwenye mabar.

Kwanini tuonekane Washamba ilihali kila MTU kipo anachokipenda kwenye maisha yake?
 
Kwanza ushamba ni nini? siku kuna wimbi la wajinga wengi usipokubaliana na matakwa yake au ushabiki wake mnaweza kuwa maadui mimi huwa nawaambia kila mtu ana hulka yake mambo ya kulazimishana ujinga ndiyo sipendi acha nifanye kile roho inapenda
 
Sio kweli hata kidogo, anaejitambua hawezi kujadili kitu kisichokuwa na faida kwake.
Mpaka atakapojua kubeti ndio atajua kabumbu siku hizi wengi wanafuatilia na faida na hasara kama kibumbu.
 
Hamna kitu nacho kichukia ktk maisha yangu kama mpira.... Nauchukia kutoka moyoni....

Napenda
-Rally
-Criket

Ushabiki wa mipira ya minguu ni ya kimama.. Nachuki na mpira... Ukikaa na mashabiki wa mpira wanavyo bishana utadhani upo ndani ya banda la vitoto vya nguruwe..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom