Mwanamke kutokunyoa nywele sehemu za siri

Mwanamke kutokunyoa nywele sehemu za siri

Hizo ni siri za ndani wewe na dem/mke wako, kuleta jf ni kumdhalilisha hatakama hukumtaja.

We mwanaume bhnaa funguka kwa mwenza wako ni nini unapenda. Kama wewe hupendi sisi wengine ndo tunapenda.
 
Si kila mtu anaona uchafu.

Mi ndo napenda mwenye msitu yaani nikiona kichaka cha kwapani tu nadata kwa bibi ndo kabisa huwa namsuka na kumfumua mwenyewe


Mmh! Basi tuko tofauti sana... Mie ndo napataga mzuka balaaa,,.. Napenda sana demu anayeachia mzigo wa vyuzz....

Mi nayapenda sana yanaleta mzuka sana kuyapapasa

Nashangaaa wengi mnasema amnyoe,,ukiona mwanamke anakaa na nywele hizo ujue ni mchafu halafu kunyolewa hawataki..sasa mtu hajanyoa mwenyewe je ataweza kunyolewa?
 
Hahahaha hapana kwakweli sio kwa hizo katani, sasa sie wazee wa uvinza si itabidi tuwe na toothpick. [emoji12] [emoji40]
[emoji4] [emoji134] [emoji134] pole Sanaa [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom