Kumbe ITV ni hata Mwanza?

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
13,729
14,159
Imegeuka kuwa TV ya taifa. Nilikuwa mwanza kwa siku 10, nilikuwa nahama hotel na bar kila siku, kila ikifika saa 2 usiku wateja wote wanaomba wawekewe taarifa ya habari ya ITV sio tv nyingine yoyote ile. Nikahamia Ukerewe mambo ni hayohayo. Mawazo yangu nilidhani Mwanza wanaangalia zaidi tv za kwao kumbe sivyo. Big up ITV.
 
ITV kiboko yao,naona startv wanashirikiana na bashite eti kuishusha kiwango,ngumu sana hata waalikane mara ngapi,habari zitasomwa tokea Dar,sio mwanza
 
Unajua lazima iwe hivyo.. Tuanzia saa moja wako channel Ten..moja na nusu wako Clouds na TV 1 ukija saa mbili ndio balaa..unawakuta ITV ..AZAM na Star TV..
ITV inatazamwa zaidi sababu ni kitambo tofauti na Azam ambayo ni wachache wenye visimbusi vyao..Star TV wao wamebezi kanda ya ziwa..kumbuka ITV hata wenye antenna wanapata na ile midishi mikubwa..
 
Ndicho kituo cha kwanza cha TV hapa bongonyika, tulikuanacho, tumekizoea bongo zetu zimekaririshwa kwa kifupi tumekariri,tumeaminishwa kuwa Tv zingine zinatangaza habari za utumbo na ujinga ujinga tu SI KWELI.Taarifa tamu ya habari ipo Azam two aisee.
 
Imegeuka kuwa TV ya taifa. Nilikuwa mwanza kwa siku 10, nilik Ukerewe mambo ni hayohayo. Mawazo yangu nilidhani Mwanza wanaangalia zaidi tv za kwao kumbe sivyo. Big up ITV.
Mkuu hizo tv zote ni gonjwa ila itv anajiweza kidogo
 
Imegeuka kuwa TV ya taifa. Nilikuwa mwanza kwa siku 10, nilikuwa nahama hotel na bar kila siku, kila ikifika saa 2 usiku wateja wote wanaomba wawekewe taarifa ya habari ya ITV sio tv nyingine yoyote ile. Nikahamia Ukerewe mambo ni hayohayo. Mawazo yangu nilidhani Mwanza wanaangalia zaidi tv za kwao kumbe sivyo. Big up ITV.
Sio TV tu, nimeshangaa sana sehemu kadhaa nilizotembelea hapa Mwanza raia wanasikiliza Radio One
 
ITV siyo wanafiki kama TV nyingine..... Habari yoyote inarushwa tuu halafu kuna vichwa mle balaa.

Suala ni kwamba ITV ni wa zamani na sio kwamba wabobezi sana..na siku hizi wameshuka kiwango si kama zamani.Tumekaririshwa tu kuwa ITV wapo vzr lakini kwa sasa walioko vizuri ni Azam two.Hii haina ubishi sema watu wengi hawajajua kwa sababu ya mazoea na ITV
 
Back
Top Bottom