Kwa kweli hizi mengu tunaita MACHO YA FUFU na mti wake (Majani) ni dawa ya kifua utatengeneza kama juice na chumvi kidogo. Mimi mwenyewe nilikuwa na matatizo ya kuumwa kichwa wakati niko shuleni nikatengenezewa huo mti juice lakini sikujua imechanganywa na nini matatizo yaliisha. ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.