Nataka nipate mimba, naomba msaada

Nataka nipate mimba, naomba msaada

4 5 6 7 8 9 10 11 12 13, 14 15 16 17 18 19 20, 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30

kanzia trh 14 - 20 ndo siku za kupata mimba zilizo baki hata kwa dawa huwezi kupata. Ma dr prove wrong.
 
wewe unataka msaada wa kupata mimba harafu unafanganya umri kwani hukusoma profile yako kabla ya kutudanganya harafu huwezi kutaka mimba wakati huna mume harafu unataka mtoto??

Hii c kuendekeza malaya harafu jf wanakupa mwongozo bule kabsa kweli Dunia haipo

Ushauri

Tafuta mume kwanza harafu rudi jf tukupe mwongozo humu hatufundishi umalaya
 
Back
Top Bottom