ndugu www,
Nakupongeza kwa kutupatia ufafanuzi kuhusu wafanyakazi waliokumbwa na hatua ya kusimamishwa na mwakyembe,hata hivyo,umeonyesha kuwa 'biased' kwa kuonyesha chuki ya waziwazi kwa
Wahaya kwa kuwawekea msisitizo wa kuwa wao ni 'enshomile',mbona eng.ringo hujamuita 'mangi'? au ni watani...